Nayakosaje Mkuu ilhali nipo naserebuka hapa kusherehekea ushindi?Unamatokeo ya Yanga ?
Amen,Huwa natamani kuandika kitu Fulani kuhusu wewe, nifah, miss chaga , miss natafuta na moniccca.. I wish siku moja nitaandika tu.
Upo shimo gani Mkuu?Hujui Yanga anaongoza ligi?[emoji35] [emoji35] [emoji35] umepindua matokeo
Tuombe uzima shostiAmen,
Natamani sana kusoma andiko lako.
Hivi mshana Jr ni mnyama aliyegeuka kuwa paka?Upo shimo gani Mkuu?Hujui Yanga anaongoza ligi?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Roho inakuumaje sasa?
Aamiyn Kheyr In Shaa AllahTuombe uzima shosti
NdioHivi mshana Jr ni mnyama aliyegeuka kuwa paka?
Yanga bado kuna nafasi mkuu karibu, halafu mjanja kama wewe kuwa huko ni kujishushia hadhi.[emoji35] [emoji35] [emoji25] [emoji25]
Mwambie ajiandae kufa kwa pressure.Ndio
Hahahahahaaaaa
Halafu Mkuu mshana kuna kitu uliwahi kusema kuhusu mimi na Bold sijui unakumbuka?[emoji35] [emoji35] [emoji25] [emoji25]