Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwn ww wa mwaka gani wengine tulizikuta mbaula zile IsuzuHii kitu tumeipanda tuliosoma Boarding public schools. Kapotezwa na kina Yutong ujinga mwingi
View attachment 2371108
Sijui mwingereza alikwama wapi..Gari hili la mwingereza lilitamba sana.
Ndiyo yaliyokuwa ya serikali.
Hahaha njia panda tosa kulikuwa na vi-volkswagen combi ukiwa ndio usafiri wa kutupeleka tosamaganga ss.Umenikumbusha
Embakasi na kombora hizi zilikua Basi zinatoka iringa mjini kwenda tanangozi waliosoma enzi hizo tosamaganga na wakazi wa tanangozi watakumbika
Halafu zote za kibabe hasa hilo ERF nakumbuka malawi&zimbabwe walizitumia kwenye bus chassis.Sijui mwingereza alikwama wapi..
Bedford, Leyland, Dennison, Sedon Atkinson & ERF zote hazizalishwi tena!!
Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
umeliona lako hapo mkuu?[emoji4]View attachment 2372252View attachment 2372253Shule za Serikali walikuwa na Isuzu Injection TX.
Hiyo Bedford nakumbuka Moja ya Mzee Makinda,Mbalizi Road ilikuwa Maji na Kuna Mzee Giga yupo Vwawa,Mbozi anabeba mchanga breakdown ni pancha au mafuta kuisha
Ha ha ha. Halafu madereva wa hizi ndinga wazee wa chama walikuwa na say kuliko hata wakuu wa shule. Waliogopeka sana.umeliona lako hapo mkuu?[emoji4]View attachment 2372252View attachment 2372253View attachment 2372255View attachment 2372254
ERF kuna malori kama Scania yameandikwa hivyo pamoja na DAF kumbe ni hatari.Sijui mwingereza alikwama wapi..
Bedford, Leyland, Dennison, Sedon Atkinson & ERF zote hazizalishwi tena!!
Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
Ndio mkuu ERF trucks zilikuwa poa sana!! Tanzania hazikununuliwa sana ndiyo maana zilizopo sasa hivi zinahesabika..ERF kuna malori kama Scania yameandikwa hivyo pamoja na DAF kumbe ni hatari.
ERF za Sasa hizi new model zimekuwa ni mbovu sana ndo maana watu wanaziogopa gari Ina umeme kuliko tanesco.Unaeza chomoa redio tu gar ikagoma kuwaka.Ndio mkuu ERF trucks zilikuwa poa sana!! Tanzania hazikununuliwa sana ndiyo maana zilizopo sasa hivi zinahesabika..
Alikuwepo tajiri mmoja wa mbeya anaitwa DHANDHO, yard yake ilikuwa pale kadege..
Huyu ndiyo mtu pekee aliyemiliki ERF nyingi Tz nzima!!