Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,184
- Thread starter
- #21
Gibb in Brussels in 2011
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
@Mamndenyi mimi pia sina wajukuu nina jambazi wangu wa kiume laiti angelikuwa ni msichana mbona ningelikuwa na wajukuu wa kumwaga lakini pamoja na hivyo naitwa jina la babu kutokana na dada zangu wanao wajukuu wa kumwaga asante bibie.Wajukuu wakuwajua mimi bado,
ukitanguliza wavulana inachukua muda kweli
kupata wajukuu.
@Mamndenyi mimi pia sina wajukuu nina jambazi wangu wa kiume laiti angelikuwa ni msichana mbona ningelikuwa na wajukuu wa kumwaga lakini pamoja na hivyo naitwa jina la babu kutokana na dada zangu wanao wajukuu wa kumwaga asante bibie.
@Mamndenyi mimi pia sina wajukuu nina jambazi wangu wa kiume laiti angelikuwa ni msichana mbona ningelikuwa na wajukuu wa kumwaga lakini pamoja na hivyo naitwa jina la babu kutokana na dada zangu wanao wajukuu wa kumwaga asante bibie.
Wajukuu wakuwajua mimi bado,
ukitanguliza wavulana inachukua muda kweli
kupata wajukuu.
lol Mie nina Kabinti msinitishe na kuanza kulea wajukuu mapema wakati nataka apate elimu kwa maisha yake ya baadae ..
R.I.P. Gibb!Jamaa is a Legend, What he has done in the Music sector is abundant.... I just wish wanamuziki wa sasa badala ya kutoa ut entertainment wangekua wanasoma na Origin, evolution na walofanya Music iwe mahala ilipo. May He Rest In Peace.