stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 7,134
- 4,556
kuclick tu 🤣 🤣 , ngoja na mm nianzishe yangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuclick tu 🤣 🤣 , ngoja na mm nianzishe yangu
Kwani uliwekeza chochotePi coin haiimbwi sana ila imewaumiza wengi nikiwemo Mimi, ila fresh na si sell naacha hivyo hivyo ishuke tu mpaka 0.00
mabilionea?Pi coin haiimbwi sana ila imewaumiza wengi nikiwemo Mimi, ila fresh na si sell naacha hivyo hivyo ishuke tu mpaka 0.00
Eti una mine kumbe jamaa anauza matangazo
ata ukisema uyatoe kesho unayakuta tenaMkuu hayo mbona ni mambo ya kawaida? Hayo matangazo wala siyo lazima uyaangalie ni wewe mwenyewe kama unapenda kuangalia
Hiyo pia ni fursa ndani ya biashara, kwani kuna ajabu gani ukienda duka la dawa halafu ukakuta anatoa na huduma ya uwakala (kutoa na kuweka pesa)
Mimi nilinunua through okx siyo zile za kuchimba. Nilinunua pi 137 na ilikuwa kwenye rate ya 2.6 na ilikuwa inapanda balaa nadhani wahuni walikuwa wanaipump ndiomaana ilikuwa inapaa sana. Nikatupia ml 1.02 zikaja pi coins 137 nikahold nikitazamia kufika 2030 kwa moto ilionao inaweza tazamia kufika walau usd 10. Kilichotokea sasa hivi inashuka tu naona kwa ss ipo 1.3 na inaendelea kushuka😄Duh! inewaumiza kivipi wakati haukutumia gharama na price yake nasikia inapanda kila siku na mambo ni mazuri tu ?
Kwani ulikuwa na Pi ngapi ?
Acha kubeza juhudi za mtu bossmabilionea?
Mimi nilinunua through okx siyo zile za kuchimba. Nilinunua pi 137 na ilikuwa kwenye rate ya 2.6 na ilikuwa inapanda balaa nadhani wahuni walikuwa wanaipump ndiomaana ilikuwa inapaa sana. Nikatupia ml 1.02 zikaja pi coins 137 nikahold nikitazamia kufika 2030 kwa moto ilionao inaweza tazamia kufika walau usd 10. Kilichotokea sasa hivi inashuka tu naona kwa ss ipo 1.3 na inaendelea kushuka😄
Hao unaowaongelea Mimi sipo huko na wala siwezi nikawa na mawazo mgando ya namna hiyo
pole mwanangu, haya masoko lazima ujue kwamba mmoja anatakiwa aliwe ili mwingine apate faida
mm toka imeingia nlishort ya kwanza ilikua liquidated ila nkafungua ingine meenda mpaka ipo $7k saahv
Hapo nakuelewa mkuu ila sio mbaya ni Moja uthubutu tkt mapambano.pole mwanangu, haya masoko lazima ujue kwamba mmoja anatakiwa aliwe ili mwingine apate faida
Mkuu mbona hata bitcoin inashuka na kupanda? Ni mambo ya kawaida hayo, pia haihitaji kuwa na haraka kama inashuka basi na kupanda ni lazimaMimi nilinunua through okx siyo zile za kuchimba. Nilinunua pi 137 na ilikuwa kwenye rate ya 2.6 na ilikuwa inapanda balaa nadhani wahuni walikuwa wanaipump ndiomaana ilikuwa inapaa sana. Nikatupia ml 1.02 zikaja pi coins 137 nikahold nikitazamia kufika 2030 kwa moto ilionao inaweza tazamia kufika walau usd 10. Kilichotokea sasa hivi inashuka tu naona kwa ss ipo 1.3 na inaendelea kushuka😄
Hivi vitu ukiotea unaotea palefu sema ndio hivyo ulaghai kwenye hizi coins umekuwa mkubwa sanamm toka imeingia nlishort ya kwanza ilikua liquidated ila nkafungua ingine meenda mpaka ipo $7k saahv
issue apa ni usifuate mkumboHapo nakuelewa mkuu ila sio mbaya ni Moja uthubutu tkt mapambano.