BEE NETWORK

BEE NETWORK

Mkuu mbona hata bitcoin inashuka na kupanda? Ni mambo ya kawaida hayo, pia haihitaji kuwa na haraka kama inashuka basi na kupanda ni lazima
Ndiomaana nikasema siwezi sell naacha hivyo hivyo ikitaka ishuke mpaka 0.00
 
Mimi nilinunua through okx siyo zile za kuchimba. Nilinunua pi 137 na ilikuwa kwenye rate ya 2.6 na ilikuwa inapanda balaa nadhani wahuni walikuwa wanaipump ndiomaana ilikuwa inapaa sana. Nikatupia ml 1.02 zikaja pi coins 137 nikahold nikitazamia kufika 2030 kwa moto ilionao inaweza tazamia kufika walau usd 10. Kilichotokea sasa hivi inashuka tu naona kwa ss ipo 1.3 na inaendelea kushuka😄
Duh ! uliwekeza million kwenye Pi ?
 
Yaani hapa stakehigh atakuwa alishaanza ku mine kimya kimya halafu anakuja kukandia kumbe ana coin zaidi ya kumi ana mine tu.

Asante mkuu.
1741633996162.png


endelea kumine ivo ivo
 
Hivi vitu ukiotea unaotea palefu sema ndio hivyo ulaghai kwenye hizi coins umekuwa mkubwa sana
Sio Kwa market max supply ya 100Bilioni pi. Haiwezi na haitakaa Ifike Dola 3 Kwa Moja.
 
Imeanza kupanda
Kumbuka Mimi nilinunua ikiwa high 2.6 nikiamini kwa mwendo ilikuwa nao mwaka utaisha ikiwa na 10 usd. Sidhani hata hiyo 2.6 itaifikia Tena kwa mwendo huu ninaoona
 
Kumbuka Mimi nilinunua ikiwa high 2.6 nikiamini kwa mwendo ilikuwa nao mwaka utaisha ikiwa na 10 usd. Sidhani hata hiyo 2.6 itaifikia Tena kwa mwendo huu ninaoona
kama nia ilikua kujaribu bahati sawa, ila kama uko serious na hii biznez chukua coins nzuri
 
Back
Top Bottom