stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 7,134
- 4,556
hahaha kwenye furssa unaachaje tumeeleza mara 100 watu hawaskiiHivi vitu ukiotea unaotea palefu sema ndio hivyo ulaghai kwenye hizi coins umekuwa mkubwa sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaha kwenye furssa unaachaje tumeeleza mara 100 watu hawaskiiHivi vitu ukiotea unaotea palefu sema ndio hivyo ulaghai kwenye hizi coins umekuwa mkubwa sana
Ndiomaana nikasema siwezi sell naacha hivyo hivyo ikitaka ishuke mpaka 0.00Mkuu mbona hata bitcoin inashuka na kupanda? Ni mambo ya kawaida hayo, pia haihitaji kuwa na haraka kama inashuka basi na kupanda ni lazima
Sahihi bosshahaha kwenye furssa unaachaje tumeeleza mara 100 watu hawaskii
Kwahiyo wakiitwa wenye juhudi na wewe unajitokeza kuelezea juhudi zako kwenye mambo ya pi ,Acha kubeza juhudi za mtu boss
Sina la kikujibu kiongoz😄Kwahiyo wakiitwa wenye juhudi na wewe unajitokeza kuelezea juhudi zako kwenye mambo ya pi ,
Duh ! uliwekeza million kwenye Pi ?Mimi nilinunua through okx siyo zile za kuchimba. Nilinunua pi 137 na ilikuwa kwenye rate ya 2.6 na ilikuwa inapanda balaa nadhani wahuni walikuwa wanaipump ndiomaana ilikuwa inapaa sana. Nikatupia ml 1.02 zikaja pi coins 137 nikahold nikitazamia kufika 2030 kwa moto ilionao inaweza tazamia kufika walau usd 10. Kilichotokea sasa hivi inashuka tu naona kwa ss ipo 1.3 na inaendelea kushuka😄
Yap. Ilikuwa inapepea balaa nikaidaikia kwenye 2.6Duh ! uliwekeza million kwenye Pi ?
Hao ni rejected kiakili watakuelewa basi watu wavivu wanawaza ubilionea usio na msingi kuanzia kwao na wao wenyewe
Hao ni rejected kiakili watakuelewa basi watu wavivu wanawaza ubilionea usio na msingi kuanzia kwao na wao wenyewe
Sio Kwa market max supply ya 100Bilioni pi. Haiwezi na haitakaa Ifike Dola 3 Kwa Moja.Hivi vitu ukiotea unaotea palefu sema ndio hivyo ulaghai kwenye hizi coins umekuwa mkubwa sana
Ina ngapi, nilishaacha hata kuchungulia coinmarketcapImeanza kupanda
Kumbuka Mimi nilinunua ikiwa high 2.6 nikiamini kwa mwendo ilikuwa nao mwaka utaisha ikiwa na 10 usd. Sidhani hata hiyo 2.6 itaifikia Tena kwa mwendo huu ninaoonaImeanza kupanda
kama nia ilikua kujaribu bahati sawa, ila kama uko serious na hii biznez chukua coins nzuriKumbuka Mimi nilinunua ikiwa high 2.6 nikiamini kwa mwendo ilikuwa nao mwaka utaisha ikiwa na 10 usd. Sidhani hata hiyo 2.6 itaifikia Tena kwa mwendo huu ninaoona