Bee Venom: Zao la Sumu ya Nyuki na uvunaji wake

Kwa makadirio vifaa vya kutega hiyo sumu kwa idadi ya hiyo mizinga vinaweza kugharimu shilingi ngapi?
Ili kuvuna Sumu ya Nyuki unahitaji mashine, hii mashine ina mfumo wa Plate na Monitor, sasa zipo mashine zenye uwezo wa Plate moja Hadi 6. Kuvuna mizinga 500 unahitaji mashine 3 au 5 zenye plate 3-5.
Kawaida idadi ya Plate ndiyo idadi ya mizinga itakayovunwa Kwa Dk 30 au 45, hivyo ukiwa na mashine ya Plate 5 utavuna mizinga mitano Kwa Dk 30 sasa mizinga 500 utavuna Kwa saa 4-6. Lakini mizinga hiyo iwe kwenye kibanda siyo kwenye miti.
 
Somo zuri sana Boss
 
Soko la ndani unauzia wapi? Mbona umetoa majibu ya kiujanja ujanja hapo? Sumu ya nyuki ni SCAM, hakuna soko lake kwa Tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…