"Beef" ya kutengeneza ya AT na Msechu ilikuwa "kiki" ya kutolea wimbo

barafu

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2013
Posts
6,739
Reaction score
32,880

Beef la wiki hii kati ya Msechu na AT kiasi cha "kuchambana" kupitia mitandao ya kijamii ilikuwa ni "kiki" ya kutambulisha wimbo wao wa Audio uitwao "Msengenyo".

Humu JF yaliletwa maneno na kichambo alichopata Msechu toka kwa AT kiasi watu walivurumisha hasira kwa AT kumbe ni kama lile beef la kutengeneza la Vanesa Mdee na Shishi Baby mtoto wa Igunga
 
Na waombee iyo nyimbo iwe nzr si kwa mipasho ile
 
Shilole na Vee money walikuja na style hiyo hiyo....
 
Hata kama kiki, lakini maneno kama yale mi ningempa mtu ngumi halafu tuendelee kutoa wimbo. Duh!
 
Stupidity of the the majority fans
 
Kiki zitawatoa kiki wengine walijisingizia ajali kina tundaman kiki za hawa wasanii jamani kinyaa
 
Kwani hamjui hata diamond na kiba ni kiki ya kuendelea kumbakiza/kumrudisha Ali kiba katika muziki??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…