Beforward Karibu Yako
New Member
- Jun 29, 2019
- 4
- 4
Pole sana Boss iwapo hukuridhishwa na huduma uliyopatiwa. ingekua vizuri tukazungumza pembeni kuhusu tatizo lako ili kulipatia ufumbuzi lisijirudie kwa wengine. Shukrani kwa uwazi wako ambao utatusaida kuwahudumia wateja wetu kwa huduma iliyo bora zaidiMmekuwa wababaishaji sana mkuu
Unaweza kukuta huyo aliye sema wababaishaji nae anatoka SBT japan au car trade and the co.Pole sana Boss iwapo hukuridhishwa na huduma uliyopatiwa. ingekua vizuri tukazungumza pembeni kuhusu tatizo lako ili kulipatia ufumbuzi lisijirudie kwa wengine. Shukrani kwa uwazi wako ambao utatusaida kuwahudumia wateja wetu kwa huduma iliyo bora zaidi
BeFoward wako vizuri, niliagiza gari na lilifika salama.Unaweza kukuta huyo aliye sema wababaishaji nae anatoka SBT japan au car trade and the co.
Kwangu mimi be forward bado hamjaniangusha kwakweli so hadi hap leo hii ninawapongeza tu
Dar tunapatikana Palm Residency, ground floor, opposite na ocean road hospitalNyosha maelezo mkuu,dar mpo maeneo gani?
Ofisi Zenu zipo mtaa gani?
Mmekuwa wababaishaji sana mkuu
Nipe simu yako ultuzungumze pembeni kweli mmekuwa wababaishaji mliniletea gari mbovu mpaka sasa mwezi wa saba haijatengemaa.Pole sana Boss iwapo hukuridhishwa na huduma uliyopatiwa. ingekua vizuri tukazungumza pembeni kuhusu tatizo lako ili kulipatia ufumbuzi lisijirudie kwa wengine. Shukrani kwa uwazi wako ambao utatusaida kuwahudumia wateja wetu kwa huduma iliyo bora zaidi
Habarini wakuu?
Kwa kufahamu kwamba baadhi ya wateja wetu wamekua na majukumu mengi jambo linalosababisha kukosa mda wa kutosha kupata msaada wa karibu katika hatua za kuagiza gari, na kwa kudhamiria kukupatia huduma iliyo bora zaidi sasa tuko tayari kukufata mahali popote ulipo ili kukupatia msaada wa kuweza kuagiza gari yako kupitia kampuni yetu ya Be Forward.
NB:
Huduma hii ni kwa wale wanaoishi au wenye uwezo wa kufika Jijini Dar es Salaam
Kwa mawasiliano zaidi piga +255746267740 mda wowote
Kwani ulijaribu wapi na gari haikufika?BeFoward wako vizuri, niliagiza gari na lilifika salama.
Habarini wakuu?
Kwa kufahamu kwamba baadhi ya wateja wetu wamekua na majukumu mengi jambo linalosababisha kukosa mda wa kutosha kupata msaada wa karibu katika hatua za kuagiza gari, na kwa kudhamiria kukupatia huduma iliyo bora zaidi sasa tuko tayari kukufata mahali popote ulipo ili kukupatia msaada wa kuweza kuagiza gari yako kupitia kampuni yetu ya Be Forward.
NB:
Huduma hii ni kwa wale wanaoishi au wenye uwezo wa kufika Jijini Dar es Salaam
Kwa mawasiliano zaidi piga +255746267740 mda wowote
Magari katika mtandao wa Beforward ni bei kubwa kuliko SBT kwanini?
Mkuu kuna jamaa wanautwa Japanesevehicles.com bei zao Beforward na SBT wote wanasubiri ila ni magari yenye quality sana..Magari katika mtandao wa Beforward ni bei kubwa kuliko SBT kwanini?