Behaviourist Kasinde aka Kasie ana nini nawe?

Ni kweli, ni muhimu mtu kumsikiliza na kumwamini ampendae kama vile wewe umsikilizavyo na kumwamini smart911 wako!🙂🙂🙂

Hivi wewe Behavior.... una matatizo gani lakini?.... Naona una kitu unakitafuta.... si buree.... aliyekwambia Smart911 ni wangu nani? That was history and past... ishapita na hairudi tena.... upo!!! Jifunze kupata habari kwa kuuliza sio kwa kumumunya mumunya maneno... muone kwanza.
 
Bro , Kasie sio mzee nimeshamwambukiza ujana.. acha nijiachie huku bwana kina espy miamala imekuwa mingi saana na competition ni kubwa.

Asanteee heheheheeee raha jipe mwenyewee.... you do me, I do you.....
 
Teh teh..Haya boss..Ukimvua Kaboka utaleta mrejesho

Weeeh!!!, utaweza kuvumilia kusikiliza huo mrejesho utakaoletewa.... heheheheheeee vingine kubali vikupite tuu, ukiona manyoya ujue ishaliwa....
 
Ha ha ha...haya ikiwezekana nitamtuma mwenyewe aje apayuke.

Ukiruhusuu tuu niwae mrejesho ujue wataniteka kama Roma Mkatoliki... hehehheeee kama utaridhia nitekwe hayaa... ila utakuwa ndo ushayakosa madude matamu...
 
Ukiruhusuu tuu niwae mrejesho ujue wataniteka kama Roma Mkatoliki... hehehheeee kama utaridhia nitekwe hayaa... ila utakuwa ndo ushayakosa madude matamu...
Hahaha... shiiiiiih. Hata tukivunja kitanda I will campent it for my self.
 

Nadhani tatizo la huyu bwana ni kama langu, nilitokea kumpenda na kumkubali sana Kasinde, sasa ku adjust kwa Kasie sijui naonaje..yaani naona kama nadanganywa hivi 🙂 🙂
 
Weeeh!!!, utaweza kuvumilia kusikiliza huo mrejesho utakaoletewa.... heheheheheeee vingine kubali vikupite tuu, ukiona manyoya ujue ishaliwa....
Basi naomba niwepo eneo la tukio kushuhudia live..Mana kauli taarifa ina mapungufu yake
 
sawa kabisaa, salute to you Daby.
Yeah you should.. I'm your soldier. And a soldier is always a solder.

Right now I'm going to change your name?? Guess the name....[emoji16][emoji16][emoji4][emoji4]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…