Tanzania Railways Corp
JF-Expert Member
- Mar 23, 2018
- 251
- 595
Picha tofauti zikionesha Behewa mpya 44 za Mizigo zilizonunuliwa na Shirika la Reli Tanzania - TRC kupitia Mradi wa Uboreshaji wa Reli ya Kati - TIRP zilipokuwa bandarini nchini China kabla ya kuanza safari kuja Tanzania. Meli yenye jina 'Kaley and IMO' iliyobeba Behewa hizo ilianza safari hivi karibuni mwezi Agosti na inatarajiwa kufika nchini mwishoni mwa mwezi Septemba 2021.