Tanzania Railways Corp
JF-Expert Member
- Mar 23, 2018
- 251
- 595
- Thread starter
- #21
Umekwishaanza na uko 1% sasaMradi wa Mwanza is isaka unaanza lini??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umekwishaanza na uko 1% sasaMradi wa Mwanza is isaka unaanza lini??
Behewa zilizouzwa kama chuma chakavu ni zile zilizokuwa katika hali ambayo haziwezi kufanyiwa ukarabati.Halafu za zamani badala ya kuzifanyia ukarabati nyie mnaenda
Kukata scraper, why?!
AsanteUmekwishaanza na uko 1% sasa
Sasa hivi wanamsakama Mama kwa nini anasafiri sana wakati JPM walimsakama na kumnanga sana kwa kutosafiriPessimists wamecharuka!
Swali hili aulizwe Pole Pole na BashiruVile vichwa mlivyookota bandarini viko wapi,au mmepaki chato
Muwe mnashinda bandarini mtaokota mabehewa hata 100,kama mliokotwa vichwa mabehewa yake lazima yapo hapohapo TPA ...pambeneni kuyatafuta yanaweza kua ya stoo ya bandari au chini ya majiUmekwishaanza na uko 1% sasa