Behewa za kisasa za reli ya SGR zimewasili

Behewa za kisasa za reli ya SGR zimewasili

Baadhi ya nchi wanachama wa EU wanapambana kuboresha mabehewa yenye ghorofa kama hii hapa PKP Intercity.
 

Attachments

  • 68c81e01-84dd-4ae1-939e-8d86c9e240ce.jpg
    68c81e01-84dd-4ae1-939e-8d86c9e240ce.jpg
    35 KB · Views: 1
Ni mabehewa pekee? Vipi? Kuhusu kichwa ndio tutatumia lile lile donga old model
 
Tuwabinafsie waarabu wa Dubai ili kuleta ufanisi mzuri
 
Tumenunuliwa na waarabu wetu wa dubai au ni pesa zetu....
 
View attachment 2648228
Ni behewa za kisasa na zenye mwonekano wa kupendeza zinazotarajiwa kuanza kubeba abiria mapema mwezi ujao kutoka Dar es Salaam kwenda Morogoro.

Ni ndoto iliyootwa na ndugu hayati Magufuli na sasa rasmi inaenda kuanza kutimilika hivi karibuni.

Hongera hayati Magufuli na hongera Rais Samia.
Kama ni ushauri mm nashauri hii reli tubinafsishe tusiachie watendaji wetu hawana uwezo huwa wao wasupervise tu.
 
Hii rangi na vumbi la bongo Huwa inawahi pauka haraka sana mfano kwa Yale mabehewa yaliyoletwa mwanzon
 
Serikali imelipa kodi kwa Waarabu kwa kuingiza hayo mabehewa?
 
Tutaibifsisha hii SGR

USSR

Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
muda si mrefu tutashindwa kuendesha, itabinafsishwa tu. cha muhimu ni kwamba ipo, tunashukuru hata uwepo wake. katika maisha nimejifunza hii dunia si ya mtu mmoja, wewe amka asubuhi tafuta pesa kwa nguvu zako zote walau ufaidi dunia Mungu akikupa uhai, ukiishia kulalamika na kujilinda kwenye kila kitu utaumia moyo, utakufa na utaachia wenzio wanakula hii dunia.
 
Back
Top Bottom