Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rule number 5: If you are belittled don't talk stare at them deeply until they feel confronted with your eyes!!!Kwa ndani wamenyimwa ruhusu kuingia kuturushia picha?
Mama huwa hapendi kero kabisa ,kitu kikimsbua yeye anawaza ubinafsishaji tu
Kama ni ushauri mm nashauri hii reli tubinafsishe tusiachie watendaji wetu hawana uwezo huwa wao wasupervise tu.View attachment 2648228
Ni behewa za kisasa na zenye mwonekano wa kupendeza zinazotarajiwa kuanza kubeba abiria mapema mwezi ujao kutoka Dar es Salaam kwenda Morogoro.
Ni ndoto iliyootwa na ndugu hayati Magufuli na sasa rasmi inaenda kuanza kutimilika hivi karibuni.
Hongera hayati Magufuli na hongera Rais Samia.
muda si mrefu tutashindwa kuendesha, itabinafsishwa tu. cha muhimu ni kwamba ipo, tunashukuru hata uwepo wake. katika maisha nimejifunza hii dunia si ya mtu mmoja, wewe amka asubuhi tafuta pesa kwa nguvu zako zote walau ufaidi dunia Mungu akikupa uhai, ukiishia kulalamika na kujilinda kwenye kila kitu utaumia moyo, utakufa na utaachia wenzio wanakula hii dunia.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahahaah mbona zmefanana na gari la jipa cripa sasa eeh
Acha ushabiki bosshuo ndio mjusi sasa aibu kwa chadema
you have to appreciate what goverment done.Acha ushabiki boss