Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji44][emoji44][emoji849][emoji849]Kama hii ni kweli, na behewa zenyewe ndiyo hizi tunaambiwa ni refubished siyo mpya, basi kuna harufu ya upigaji ama TRC wamepigwa na muuzaji.
View attachment 2436493
Kwahio Kodi ndio 1.2billioniKaka za kenya ziko kwenye msamaha wa kodi ,zetu hizi tumezingatia kuliingizia kipato taifa kupitia kodi hivo hio bei imejumuisha kodi kaka.
Ndio kaka kwani we huoni ist ya 1.7 milioni tunalipia 6 milioni kodiKwahio Kodi ndio 1.2billioni
Hili hawezi lijibu!!Kwahio Kodi ndio 1.2billioni
Ni mwendo wa kupigwa tu hata tujifunike uso mzima na khanga au kitu kingine.Kama hii ni kweli, na behewa zenyewe ndiyo hizi tunaambiwa ni refubished siyo mpya, basi kuna harufu ya upigaji ama TRC wamepigwa na muuzaji.
View attachment 2436493
Ebu na wewe mwambie kwasababu hapo yalipo hizo reli ni 1000mm na mabehewa ya SGR yanahitaji reli yenye upana wa 1435mm sasa sijui aliye mwambia ni hayo ni nani?Hizo ulizoweka ww sio behewa mpya za Tanzania mkuu. Kama huna picha za mabehewa mapya omba uziattach hapo
Umejuaje kama hatukuyaokota huko na kuyapeleka kupiga rangi?wewe sasa unataka utibue dili la watu,maana hata huko India pia yapo kwenye scrap yard yenye miaka kadhaa,tungeweza pia kununua kama scraps,who knows?TRC hayo mabehewa mnayopigwa na Wahindi nendeni SA wanayafanya chuma chakavu mnaweza kuokota na kuyapiga rangi mtauziwa kwa uzito wa chuma hii sio utani maana ipo kampuni imechukua tenda ya kuyapeleka yote scraper ni vile hata mkiokota mtasema mmeiuziwa Bilioni kadhaa..
Yaani mabehewa sio big deal kabisa Mkuu ni vile sio ishu zangu niliwahi wasikia jamaa wakiongelea hizo mambo walikua wanayapeleka Zambia na waliyanunua ila wao walinunua mapya kabisa....pana Mcongo yupo Kerk/Nugget ndio kazi zake hizo..Umejuaje kama hatukuyaokota huko na kuyapeleka kupiga rangi?wewe sasa unataka utibue dili la watu,maana hata huko India pia yapo kwenye scrap yard yenye miaka kadhaa,tungeweza pia kununua kama scraps,who knows?
Hayo ya juu ni ya kenya bei rahisi kama mabasi ya yutong 950m, sisi ya kwetu ni hayo ya chini, 2.5bn kila moja yako kama dreamliner. Wakenya walie tuHiyo ya juu siyo ya Kenya, kweli tumefanyiwa uhuni ila msitupige fix.
Kenya anatunia za diesel, hatumii za udongo, hii naona ni ya umeme
Tutaelewanaaa tuMakochi yetu ya sgr ndiyo hayo. Yana kiyoyozi, tv, bafu na choo, na friji kuuubw
Duh!Kama hii ni kweli, na behewa zenyewe ndiyo hizi tunaambiwa ni refubished siyo mpya, basi kuna harufu ya upigaji ama TRC wamepigwa na muuzaji.
View attachment 2436493