NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 11,131
- 9,301
MAGU alikuwa na kasoro na matatizo mengi lakini tutamkumbuka Sana. Hawa viongozi wetu ni walaku kuliko mbuzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una kichaa wewe nimepitia Leo puma behewa ni hizo we endelea kuvuna mahindi huko itigi mambo ya mjin huyajuiHizo ulizoweka ww sio behewa mpya za Tanzania mkuu. Kama huna picha za mabehewa mapya omba uziattach hapo
Kodi analipwa nani aliyetoa hela kununua ni nani? Mapato ya kodi yakuja vipi kama anayelipwa kodi ndio mnunuzi? Msidanganywe na technicalities hewaKaka za kenya ziko kwenye msamaha wa kodi ,zetu hizi tumezingatia kuliingizia kipato taifa kupitia kodi hivo hio bei imejumuisha kodi kaka.
Isije ikawa tumepigwa mara 3 ya Kenya!Kama hii ni kweli, na behewa zenyewe ndiyo hizi tunaambiwa ni refubished siyo mpya, basi kuna harufu ya upigaji ama TRC wamepigwa na muuzaji.
View attachment 2436493
Jiwe alikuwa kila jpili anaenda kanisani, hakuwa fisadi kabisa. Na hata ile 1.5trn CAG Assad aliyodai hajui iliyeyukia wapi, jiwe alijichikichia 1.0trn tu kama hela ya mboga.Kwani yeye mwenyewe alikuwa na utakatifu gani? Angekuwa ni mtakatifu; asingeruhusu akina Bashite, Mnyeti, Saabaya, na wengineo wengi kupora mali za watu.
Kama una jambo shitaki shirika,hiyo reli sio ya highbreed ni middle class,tuwe wavumilivuKama hii ni kweli, na behewa zenyewe ndiyo hizi tunaambiwa ni refubished siyo mpya, basi kuna harufu ya upigaji ama TRC wamepigwa na muuzaji.
View attachment 2436493
Muwe mnaweka picha halisi Badala ya Uongo na Upotoshaji.Kama hii ni kweli, na behewa zenyewe ndiyo hizi tunaambiwa ni refubished siyo mpya, basi kuna harufu ya upigaji ama TRC wamepigwa na muuzaji.
View attachment 2436493
Kama hii ni kweli, na behewa zenyewe ndiyo hizi tunaambiwa ni refubished siyo mpya, basi kuna harufu ya upigaji ama TRC wamepigwa na muuzaj
Kodi ipi?hiivi capital tax inakuwa added au deductedKaka za kenya ziko kwenye msamaha wa kodi ,zetu hizi tumezingatia kuliingizia kipato taifa kupitia kodi hivo hio bei imejumuisha kodi kaka.
Maamuzi ya kuiba matrillion ya watanzania nakutapanya na kugawa kwa mahawara zake jama njugu?Yule angewatia mimba mchana peupe. Jamaa alikuwa na maamuzi kama mwehu.
Ni bora angelifanya hivyo kuliko hawa wezi kutupiga pesa mchana kweupee na hili kolo lime kaa tu kimya lina kenua kenua na mapambio juuYule angewatia mimba mchana peupe. Jamaa alikuwa na maamuzi kama mwehu.
Sad.!Kama hii ni kweli, na behewa zenyewe ndiyo hizi tunaambiwa ni refubished siyo mpya, basi kuna harufu ya upigaji ama TRC wamepigwa na muuzaji.
View attachment 2436493
Mtu mwenye kasoro na matatizo mengi unamkumbuka kwa lipi sasa mkuu....muache apumzike tu kwa amani mzee wa watu.MAGU alikuwa na kasoro na matatizo mengi lakini tutamkumbuka Sana. Hawa viongozi wetu ni walaku kuliko mbuzi.
Hapajawahi na hapatawahi kutokea kiongozi bora afrika.bora yeyeMtu mwenye kasoro na matatizo mengi unamkumbuka kwa lipi sasa mkuu....muache apumzike tu kwa amani mzee wa watu.
[emoji28][emoji28][emoji28]Umejuaje kama hatukuyaokota huko na kuyapeleka kupiga rangi?wewe sasa unataka utibue dili la watu,maana hata huko India pia yapo kwenye scrap yard yenye miaka kadhaa,tungeweza pia kununua kama scraps,who knows?