Behind any frustrated man there is a woman

Behind any frustrated man there is a woman

Watoto wangu wangu kwa sasa wameshtuka kidogo mana narudi hme late halafu nikifika napitiliza kulala but every weekend nawatoa out bila mama yao coz i really love them and will make sure nawajengea future nzuri. Nimewafungulia accounts kwa kutumia pesa iliyokuwa intended for our common projects with wife ambazo kwa sasa zimestop. mke wangu nikimwangalia usoni i can see a guilty and regretting mind. Halafu hajaniuliza why am behaving the way i do. mwanzoni alikuwa akijaribu kunimegesha halafu mimi namkazia macho analegea na kuacha. sasa hivi tunasalimiana tu ila yuko restless. Naona pia amepunguza kwenda out halafu ninanotice ameanza kidogo kupunguza kujikwatua na kujipendezesha. Sijajua atachukua mesures gani ila nitawapeni mrejesho wa events as the situation evolves.

Kaza buti mkuu, hakuna kucheka naye mpaka aombe kuondoka
 
so for this one its ok baba ateseke lakini wengine hapana sio?

Hata ikibidi kuachana, cha maana ni kuweka mpango mzuri na endelevu wa kuangalia watoto rather than watoto kuteseka wakiwa na baba na mama
seeing a drunk farther, fighting with a b**ch mother talking all sh!t words and ending up ruining everyones lives

Sitokubali kuteseka kamwe. Na afike salama tuuuuuuuuuuuu. Jamaa aandae mipango ya watoto kusoma. Ikibidi awapeleke boarding maana kama sasa atakuwa anawatesa watoto na huo ulevi. Soon watashindwa kumheshimu mlevi.
 
Thanks... this is the advice young man neeed
Acid, one cannot just trust blindly especially in such a case atii! Hapa tunaandika kirahisi rahisi tu....tema huyo, import mwingine and stuff. But in the real sense ni ngumu bandugu.

Jamaa ana rely kwenye hearsay tu, no anyother supporting evidence. Chanzo chenyewe cha taarifa anakiaminije? Hata angekuwa ndugu wa damu wakati mwingine inabidi mtu ufanye homework yako bwana.
You cant just trust, utajuaje yaliyo moyoni mwa mwenzio! Binadamu si wema katu.
 
dah! wa kwangu mimi alinifuma natafuna nje.....kabinti kazuri ka maana...mke wangu alinisamehe........

yakaisha..... ila nilieleza sababu, akalalamika na kulia ila mwisho wa siku yakaisha...........

nakumbuka alisema hivi ...acha usirudie kwan Mungu hapendi!
 
Acid, one cannot just trust blindly especially in such a case atii! Hapa tunaandika kirahisi rahisi tu....tema huyo, import mwingine and stuff. But in the real sense ni ngumu bandugu.

Jamaa ana rely kwenye hearsay tu, no anyother supporting evidence. Chanzo chenyewe cha taarifa anakiaminije? Hata angekuwa ndugu wa damu wakati mwingine inabidi mtu ufanye homework yako bwana.
You cant just trust, utajuaje yaliyo moyoni mwa mwenzio! Binadamu si wema katu.
mkuu, huyu mtoa sredi atakuwa ni mzembe wa karne kama atakuwa amerely kwenye hearsay. mimi upande wangu nimechukulia kwamba tayari amesibitisha mwenyewe kwamba hiyo ishu ipo. adhawaizi i withdroo my komenti. kama mtoa sredi hajasibitisha basi mimi nakubaliana na wewe 600%. ok sredi na liendelee.
 
klorokwin, kama nimeelewa nilichosoma, jamaaa 'aliambiwa na rafiki' tu kisha akajumlisha na vile mke anavoenenda basi akapata jibu alimegwa.
Hajui hata yeye mabadiliko yake yaweza kuwa sababu ya mke kunywea kiasi hicho maana hajui nini kinaendelea.
Mahusiano ya kawida tu ya mapenzi siwezi kutegemea kuambiwa ije kuwa ndoa yangu ya thamani.
 
klorokwin, kama nimeelewa nilichosoma, jamaaa 'aliambiwa na rafiki' tu kisha akajumlisha na vile mke anavoenenda basi akapata jibu alimegwa.
Hajui hata yeye mabadiliko yake yaweza kuwa sababu ya mke kunywea kiasi hicho maana hajui nini kinaendelea.
Mahusiano ya kawida tu ya mapenzi siwezi kutegemea kuambiwa ije kuwa ndoa yangu ya thamani.
pamoja sana mkuu, inabidi huyu mtoa sredi aweke vitu wazi sasa ili tumuelewe. asije akaacha mke kumbe hiyo njemba iliotoa ripoti za guest ndio inanyemelea mzigo. na kama kesi itakuwa the way unavyosema basi huyu jamaa mtoa sredi atakuwa "ameekti" kitoto kuliko hao watoto wake.
 
Ili watoto wao wateseke sio?

kweli kabisa, malezi ya watoto ni kitu muhimu sana kuzingatia. ila kuna suala la ukimwi nalo si la kupuuza kwa kiwango chpchote. uzinzi ni tendo baya sanna. usimfukuze nyumbani wala usigombane naye ila mweleze kila unachokijua juu ya uzinzi wake na huyo rafiki yake na ummtume akamwambie huyo mzinzi mwenzake kisha jitenge na unyumba naye hadi mpimwe afya zenu
 
ngoja arudi tumsikie, vinginevyo mi namuona mkurupukaji tu! Na kama washikaji zake wanamjua ni mtu wa maamuzi ya juu juu basi watamchezesha shere ajute. Mbaya sana mtu akijua udhaifu wako aisee.
 
Lakini ngoja kwanza, katika infidelity mnataka ushahidi gani hasa ili mridhike? Kwa sababu zaidi ya kumkamata mtu in flagrante delicto ushahidi wote utakuwa ni speculative.

Kwa sababu hata ukibamba sms kwa mfano, hiyo haithibitishi 'kumegana'. Hata ukimbamba mwenzio anatoka gesti na mtu wa jinsia tofauti still hakuna uthibitisho.

Hata ukamate barua bado huwezi kuthibisha 'kumegana'. sielewi mimi kunahitajika ushahidi gani hadi mtu uweze kuchukua hatua. Watu wanapomegana kwa kawaida wanamegana kisiri. Kukamatwa ni vigumu sana.
 
asanteni sana wakuu yaani hapa JF kuna maushauri kibao ndiyo maana 2 weeks baada ya tukio nikaja hapa. Mtu unaweza unaweza ukachange mind na kuacha pombe. Ila kwa sasa pombe is my wife and i love her. Naomba anayefahamu pombe yenye alcohol vol zaidi 50 anisaidie


Rev toa ushauri hapo pekundu
 
But alcohol is so provisional...and then once sober you are back to square one. Actually chances are that it can compound the problem (talking about excessive drinking)

So don't get sober.
 
Tigger, mimi wasiwasi wangu ni kuamini tu ya kuambiwa! Ushahidi gani wa kuambiwa huo, unamwaminije huyo anayekwambia? Kumbuka huyo mtuhumiwa mwingine ni rafiiki pia?
 
Lakini ngoja kwanza, katika infidelity mnataka ushahidi gani hasa ili mridhike? Kwa sababu zaidi ya kumkamata mtu in flagrante delicto ushahidi wote utakuwa ni speculative.

Kwa sababu hata ukibamba sms kwa mfano, hiyo haithibitishi 'kumegana'. Hata ukimbamba mwenzio anatoka gesti na mtu wa jinsia tofauti still hakuna uthibitisho.

Hata ukamate barua bado huwezi kuthibisha 'kumegana'. sielewi mimi kunahitajika ushahidi gani hadi mtu uweze kuchukua hatua. Watu wanapomegana kwa kawaida wanamegana kisiri. Kukamatwa ni vigumu sana.
mkuu una pointi pia na ndio maana nikasema inabidi jamaa ashushe ushahidi hata kama ni wa txt msg, lkn ushahidi wa kuambiwa na rafiki ni too low. mheshimiwa kikwete alisema samtaimu inabidi uwe mbayuwayu uchanganye na za kwako. huyu jamaa hakutakiwa kupanic wala kuvamia mapombe, alitakiwa atulie afanye uchunguzi wa kijitu kizima na akiridhika na research yake tu kama ni kweli atimue huyo dada. so suala sio speculation ni source ya hiyo speculation.
 
Samahani waungwana ila a few monts ago nimeanza kubugia pombe kama maji. Nilikuwa nimemwamini sana mke wangu. nilimpa asilimia mia moja. nami baada ya ndoa sijawahi kumsaliti sasa yeye kaamua kutoka na my best friend. jamaa yangu kawaona live wanatoka guest house akaja kunambia. mimi nilikuwa na mashaka na mahusiano ya mke wangu na rafiki yangu tangu muda mrefu kwa sababu nikiwa na mke wangu nikikutana na rafiki yangu mwizi, mke wangu anaangalia chini na hawezi kabisa kumtizama jamaa. sasa imethibitika mke wangu anananihiwa na rafiki yangu. Sijamwambia kitu hadi sasa ila nimeanza kunywa pombe kama maji. Na hapa JF naomba msinishauri kuâcha pombe. Nimeweka thread hii kuwatahadharisha wale wenye ujinga kama wangu wa kumwamini mke 100%. Samahani yawezekana kuna wanawake waaminifu pia. Ila nimeacha kabisa kufanya the needful na mke wangu. hata akiwa uchi namwona kama mwanamme mwenzangu tu. Sijui kama nitakuja kugusa K maishani. Kila nikijisikia kudo nakamata bia. Kwaherini akina dada. Ninajua JF mna hekima na busara ila kwa sasa sihitaji ushauri wowote. Am married to vodka. Nawaasa tu wale walioweka 100% kwa wake zao. YAMENIKUTA. Naomba kuwasilisha wakuu.

Pole sana urithi wangu kwa mzee wangu ambaye ni marehemu aliniambia mwanangu
Kua uyaone na kwa ukweli nishayaona mengi na ninaendelea kuyaona mengi mara nyingi alikuwa akiniambia USIMWAMINI MWANAMKE YEYOTE HATA KWA DAKIKA MOJA
Na siku ukimwamini kwa asilimia zote iko siku utakuja kujua kam YESU ni BWANA au YESU ni MWOKOZI Wa maisha yako.

Pole sana.
 
pia kubamba sms, au kusoma barua ni tofauti kabisa na kuambiwa ....nilimuuona akitoka gesti....(au hata akimegwa) ntaaminije? Kwa kutegemea kuambiwa tu mtu unaweza kufanya makosa makubwa sana kwenye maamuzi kwa kweli.

maandishi umeyasoma mwenyewe na yanachembechembe za kuibiwa/kushuku nyendo za mwenza wako, hapo kwa kweli ushahidi unaweza kuwa ushahidi/kujitosheleza .
 
mkuu una pointi pia na ndio maana nikasema inabidi jamaa ashushe ushahidi hata kama ni wa txt msg, lkn ushahidi wa kuambiwa na rafiki ni too low. mheshimiwa kikwete alisema samtaimu inabidi uwe mbayuwayu uchanganye na za kwako. huyu jamaa hakutakiwa kupanic wala kuvamia mapombe, alitakiwa atulie afanye uchunguzi wa kijitu kizima na akiridhika na research yake tu kama ni kweli atimue huyo dada. so suala sio speculation ni source ya hiyo speculation.

Mimi sina tabia ya kupuuzia vitu hata viwe vidogo namna gani. Wewe una dismiss kirahisirahisi tu kwa vile jamaa kasema kaambiwa na rafiki yake. Kweli, ni muhimu (si lazima) kupembua kati ya pumba na mchele ktk yale uambiwayo na watu lakini kama utapuuzia 'maneno' ya watu hasa kwenye suala la uzinzi ipo siku utalipa gharama kubwa sana.

Sasa wewe nawe umeshahitimisha kuwa alichoambiwa na mshikaji wake hakukichanganya na za kwake. Una speculate hapo. Huenda kasoma mienendo ya mkewe ilivyo siku hizi akaunganisha na habari anazosikia kwa watu ndio akafikia hapo alipo.

Bottomline, unless unamkamata mwenzako kwenye tendo, ushahidi wa yeye kuzini nje ya uhusiano wenu huwa ni wa kimazingira tu. Hata akizaa mtoto na mtu wa nje, still hiyo si uthibitisho kuwa walimegana. Inaweza kuwa ilikuwa ni IVF....lol
 
mnh pole sana..dont waste your life on alcohol...njoo kwangu nikupe faraja.:whoo::whoo:
 
Back
Top Bottom