Behind the curtain: September 11

The bold naomba nikuulize swali moja au mawili, kama nitakuwa nimetoka nje ya mada, utanisamehe.
Hivi hizo taarifa za vikao vya siri vinavyofanyika na mpaka tunajua kuwa wanataka kwenda kulipua sehemu gani:-

a) Nani anawapa taarifa ya mazungumzo yaliyoongelewa huko ndani mpaka wajue mikakati yao maana najua kunakuwa na usiri sana au katika hiko kikao kunakuwa na mamluki anayesambaza jumbe hizo?

b) Na kama washaifahamu mikakati...je, hakuna namna ya kuizuia kabla ya kutekelezeka? mfano shambulio la WTC?
Asante.
 
Hivi Kwann vichwa maji Kama hawa hawakosekanagi? Unatag uzi woooote kwa Sentensi moja tu shenz
ulizaga kwanza unafikiri wote wana uzoefu humu ndani, wengine tunaingia jamii forum tunapokuta mada nzuri tu, angalia we k...u...m
 
Hivi Kwann vichwa maji Kama hawa hawakosekanagi? Unatag uzi woooote kwa Sentensi moja tu shenz

shenzi mwenye K wewe, unataka mashine au?

ulizaga kwanza unafikiri wote wana uzoefu humu ndani, wengine tunaingia jamii forum tunapokuta mada nzuri tu, angalia we k...u...m
Guys!! Give it a break..

Mambo madogo tu hayo ya kueleweshana hakuna haja ya kufika mbali hivyo..
 
Guys!! Give it a break..

Mambo madogo tu hayo ya kueleweshana hakuna haja ya kufika mbali hivyo..
thanx mkuu unajua watu wengine wanavyolala na kuamkia humu jamii forum wanafikri wote wako hivyo. kuna wa kwanza nimemjibu kistarabu nikiamini haitatokea tena akaja tena na huyu with the same thing nafikiri lilikuwa ni jibu sahihi kwake...!!!!
 

Madame B

Nijibu maswali yako japo kwa uchache;

a) taarifa zinapatikana kwa nia kuu mbili;

- Moja ni mbinu za kishushushu na Ujasusi.. (Yaani kutumia mapandikizi kwenye vikundi vya kigaidi, surveillance, na source nyingine..

- mbili , ni kuwahoji baada ya kuwakamata wahusika.. Yani hawa magaidi wakifanikiwa kukamatwa wanahojiwa illi kutoa siri za namna walivyopanga matukio yao..
Kumbuka kuwa kuna wahusika wengi wakuu wa Al Qaida wamekamatwa wakowa hai mfano ni huyu KSM niliyemuelezea.. Mwingine ni Mohammed al-qahtani na wengineo wengi..

Mahojiano haya sio ya hiari! Mfano baadabya tukio la 9/11 Rais Bush aliruhusu kutumika kwa "Enhanced Interrogation Techniques".. (Utesaji) mfano kutumia stress positions, waterboarding n.k. katika kuhoji watuhumiwa wa ugaidi..

KSM alitoa siri nyingo sana baada ya hiki "kibano"


b) Swali hili la pili nisilijibu sasa ili nisiondoe utamu wa makala.. Nitaongelea sana ishu hii mwishoni!
Kuna taafifa nyingi sana CIA walikuwa nazo kabla ya 9/11, swali kwanini hazikifanyiwa kazi?? Nitaongelea hili kwa mapana..
 
Hvi wale marubani waliahidiwA kiasi gani mpaka kukubali kwenda kugonga lile jengo na wao kupoteza maisha.
 
Seems the guy (Osama) ni genius sana.. But Mkuu inasemekana kua huyu jamaa hajafa, hebu tukimalizana na uzi huu tujikite kwenye facts za kukubali au kukataa kifo chake.
 
Mkuuu Naomba na mm unitag
 
mkuu The bold naomba unitag umeleta mambo ambayo nakupa heshima ya kipekee sana..!!!
 
Seems the guy (Osama) ni genius sana.. But Mkuu inasemekana kua huyu jamaa hajafa, hebu tukimalizana na uzi huu tujikite kwenye facts za kukubali au kukataa kifo chake.
Kabisa! Mwishoni mwa makala ni vyema tukiwa na mjadala kujadili facts mbali mbali kuhusu bin laden na al qaida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…