Behind the curtain: September 11

Endelea kufuatilia mkuu.. Hasa hasa nikiweka sehemu ya pili na ya Tatu.. Kuna mambo yenye utata sana yalifanywa na "US Intelligence Community" kabla na baada ya tukio ambayo yanatia shaka mno..
Mkuu siyo tu inatilia shaka bali hakuna hata ndege iliyogonga WTC....

Acha watu wapate uhondo wa hii story mkuu tusiwaharibie....
 

je ni kweli osama alikufa huuu mwaka 2011 na aliuwawa na wale askari wa majini??
 
Always you never disappoint me,hongera sana mkuu
 
Mkuu The Bold Mimi ninaomba uwe unanitag katika nyuzi zako natanguliza shukran
 
mkuu the bold nmekuchek huko inbox tafadhal
 
Ukiiusoma ulimwengu wa sasa na phase zake itakubidi uwe deep sana, Kuna huyu jamaa anaitwa RIK MAYALL, sasa ni marehemu, uyu jamaa alikufa Kwa kujaribu ku expose 9/11 na ile ya Landon booming, ningekuona mjanja kama ungekua unawaletea watu habari za Geoengineering uzi wako hauna mashiko, kama bado una angaika na makundi feki yakigaidi ambayo si ya kweli na unayatengenezea bado headlines, wewe unasoma soma ili uje kudanganya watu au unatengeneza mazingira ya icho unachokiandika??

Angalia iyo picha then endelea kutudanganya..​
 

Attachments

  • IMG_8889.jpg
    72.5 KB · Views: 206
Ungetakiwa ulete wewe hayo unayoyajua wewe, yeye kashafanya yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…