Behind the curtain: September 11

Behind the curtain: September 11

Mkuu The bold naomba kujua kama waliopanga na kutekeleza shambulio la kigaidi ubalozi wa marekani Dar walikamatwa au waliuwawa?
 
uko wapi the bold...mwenzio haka kaseries natongozea demu,na anajua mimi ndiye mtunzi,sasa mkuu nilimuambia leo nakutetea sehemu ya nne,tangu asubuhi ananikumbusha najifanya niko bize na kikao,sasa siku inaisha mkuu the bold tafadhali nifanyie wepesi tafadhali kaka.


[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umenichekesha sana.
 
Back
Top Bottom