Behind the curtain: September 11

Nyerere alifanya la maana sana kuwafanya Watanzania wasijuwe kingereza kama Kiswahuli, maana kwa ujuwaji wetu ingekuwa ni shida hadi waandishi wa udaku wangefanya hizi kuwa makala zao kwenye vigazeti vyao uchwara.

The bold hatoi mbinguni simulizi hizi bali anasoma tu mtandaoni kwenye source mbalimbali na kutranslate kwa kiswahili, kwa kifupi The bold ndio Lufufu wetu huku JF kwenye kijiwe hiki.
 
Hivi internet huwa zinawasaidia nini? Huwa nashindwa hata kuwashangaa watu wa sampuli yako.

Ccm itatawala milele mpaka pale kizazi zembe kama hichi kisicho hata na chembe ya udadisi kitakapotomea.

Google is ur user friend brother.

 
Wewe utakuwa na matatizo ya akili sio bure.
 
Sure, take time the bold. Andaa kitu cha uhakika kama kawaida yako, vitu vya ukweli siku zote.
 
Movie zipo Mkuu.. Tafuta
 
5000 × 250= 1250000/=

Uko vizuri online earning.

Bado kuna majinga yanajiita wasomi mshahara laki tano kwa mwezi.

Ndio mana waliwa washeri mnaongezeka sana Tanzania na wenye tabia za Kike kama hizi we inakuhusu nin mwenzio anaanzisha bar unaenda mchomea serikalin il mradi aishi maisha ya kula kwa shemeji na kulala sebuleni kama wewe
 
Wallah juzi ktk maongezi yetu nilimuambia hivi The bold.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…