Pamoja sana mkuu, tupo pamoja!Pamoja sana Mkuu..
Sehemu ya 4, 5 & 6 tayari zimetoka.. Tazama link pale post # 1 mwishoni
hii series inawezekana isihitimishwe leo mkuu.The Bold katika ubora wake tena... Tunasubiri hitimisho leo..
Hivi internet huwa zinawasaidia nini? Huwa nashindwa hata kuwashangaa watu wa sampuli yako.Hadi hapa nilipofikia ktk simulizi ya nyuma ya pazia ya september 11, nimetokea kumkubali Atta kinoma alaf na mimi najiona kama nipo ktk hilo tukio hatare sana, kingine nataka kuuliza hivi hadi leo hakuna jamaa ambao wame act movie kuhusu ichi anachotusimulia The Bold???
Wewe utakuwa na matatizo ya akili sio bure.Hivi internet huwa zinawasaidia nini? Huwa nashindwa hata kuwashangaa watu wa sampuli yako.
Ccm itatawala milele mpaka pale kizazi zembe kama hichi kisicho hata na chembe ya udadisi kitakapotomea.
Google is ur user friend brother.
View attachment 475669
Hiyo 250 ya nn??5000 × 250= 1250000/=
Uko vizuri online earning.
Bado kuna majinga yanajiita wasomi mshahara laki tano kwa mwezi.
Movie zipo Mkuu.. TafutaHadi hapa nilipofikia ktk simulizi ya nyuma ya pazia ya september 11, nimetokea kumkubali Atta kinoma alaf na mimi najiona kama nipo ktk hilo tukio hatare sana, kingine nataka kuuliza hivi hadi leo hakuna jamaa ambao wame act movie kuhusu ichi anachotusimulia The Bold???
5000 × 250= 1250000/=
Uko vizuri online earning.
Bado kuna majinga yanajiita wasomi mshahara laki tano kwa mwezi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Kumbe nawe unasomaga eeeh?The Bold katika ubora wake tena... Tunasubiri hitimisho leo..
Wallah juzi ktk maongezi yetu nilimuambia hivi The bold.Salute Sana mkuu [HASHTAG]#the bold[/HASHTAG] Kuna makala moja hivi siikumbuki niliwahi kuisoma somewhere kwamba bin laden licha ya kuwa shabiki mkubwa WA Arsenal pia alikuwa shabiki mkubwa WA Whitney Houston,alimpenda mno Whitney kiasi kwamba ilifika mahali akaamrisha mkewe awe anaset nywele kama Whitney,Japo upande WA pili tunaambiwa jamaa aliupinga Sana umagharibi hii imekaaje mkuu,
Movie zipo Mkuu.. Tafuta
Allah Akbar basi kabarikiwa sana umekaa nae hivi hiviii [HASHTAG]#the bold[/HASHTAG]Wallah juzi ktk maongezi yetu nilimuambia hivi The bold.
Mkuu nimeona kuliko nikutajie bora nikupe ndoano kabisa, hebu google, na usiishie kwenye movie tu nenda mpaka kwenye documentary.naomba nipe jina la moja niitafute kaka