chuma cha reli
JF-Expert Member
- Jul 2, 2012
- 2,764
- 2,559
Haaaaa mi najua kilichosababisha ni mwanamke tu....tena yupo humu humu
Poa...sema jumanne mbali
Poa...sema jumanne mbali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu kwanza sikubaliani na sababu uliyoitoa. pili hata ikiwa sababu yako ni ya kweli sioni ubaya,mke ana thamani zaidi ya hili jukwaa.Haaaaa mi najua kilichosababisha ni mwanamke tu....tena yupo humu humu
Poa...sema jumanne mbali
Mkuu usihangaike na huyo mtu.. Ni wa kumpuuza.. Kwa wenye busara na hekima wameelewa, hao wanaoongea maneno ya kijinga tuwaache na ujinga wao..mkuu kwanza sikubaliani na sababu uliyoitoa. pili hata ikiwa sababu yako ni ya kweli sioni ubaya,mke ana thamani zaidi ya hili jukwaa.
[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji36] [emoji36] [emoji124] [emoji124] [emoji124]WAKUU,
KUTOKANA NA SABABU FULANI FULANI ZILIZO NJE YA UWEZO WANGU, SITAWEZA KUWALETEA SEHEMU YA 12 YA MFULULIZO WA MAKALA HII YA "BEHIND THE CURTAIN: SEOTEMBER 11" SIKU YA LEO.
BADALA YAKE NITAWALETEA SEHEMU HIYO YA 12 (AMBAYO ITAKUWA SEHEMU YA MWISHO KUHITIMISHA MAKALA) SIKU YA JUMANNE..
KUMRADHI KWA USUMBUFU ULIOJITOKEZA.!!
The Bold
Kesho tu jamani?[emoji4]Mbona siku haziendi
Wewe ni mchochezi ukubali ama ukatae, ukisoma vizuri between the line katika post yangu utaona kabisa nimeandika kwa kufanya jokes flani hivi...ndio maana nikasema mwanamke mwenyewe yupo humu humu kwa kurefer kwa Nifah ambaye hakuna asiyejua kuna jokes nyingi kumuhusu yeye na the boldmkuu kwanza sikubaliani na sababu uliyoitoa. pili hata ikiwa sababu yako ni ya kweli sioni ubaya,mke ana thamani zaidi ya hili jukwaa.
Haishaikum si matusi na naomba sana unisamehe kwa kunielewa vibaya coz dhamira yangu haikuwa hiyo but I was trying to make funny and jokesMkuu usihangaike na huyo mtu.. Ni wa kumpuuza.. Kwa wenye busara na hekima wameelewa, hao wanaoongea maneno ya kijinga tuwaache na ujinga wao..
Haiwezekani makala iruke mfululizo kwa wiki Tatu and siku moja tu niombe udhuru mtu aongee maneno ya kipuuzi!
Usihangaike nao kabisa Mkuu.. Ndio maana unaona hata kumjibu sijamjibu.. Coz watu wa dizaini yake hawapaswi hata kujibiwa
Sema SAMAHANI Mkuu, sikumaanisha hivyo.Haishaikum si matusi na naomba sana unisamehe kwa kunielewa vibaya coz dhamira yangu haikuwa hiyo but I was trying to make funny and jokes
Nakuheshimu sana hasa mchango wako so that was not my intention na najua kuna mtu ndio amefitinisha
Mkuu upo serious kweli kusema google na jf wanatoa huduma bure??Hii si dalili njema kwa mvulana kujipendekeza kwa mwanaume.
Hiyo ni nafasi ya Nifah, sasa mvulana unapomgombea mwanaume ulimwengu wote unapigwa na butwaa.
Kuna watu wenye akili waliumiza akili zao na wakaja na google search engene na inatowa huduma bure.
Hata hapa JF unapokatika viuno kama unasasambuwa kwenye kibao kata Max na Mike wanatowa huduma hii bure. Fala wewe.
Here I am my le super friend long time kitambo jukwaa hili la Intelligence.Here I am on my chair waiting for my brain breakfast served by The Bold. Mkuu nakusubilia, pia msalimie shem wangu wa ukweli Nifah