Behind the curtain: September 11

Behind the curtain: September 11

shukrani mkuu ze bold....kwa kuongezea chumba cha ufahamu ktk jengo la ubongo wng wa ufahamu wa mambo ya kidunia...
"we 'r waitin the king master"
hujawahi kuniangush broh...
natamani sana kuja huko whtsapp....lakini nina minyororo na ID yng.... hav a nyc day mkuu....
 
Mkuu upo serious kweli kusema google na jf wanatoa huduma bure??

Hakuna cha bure kaka dunia hii we huulizi pango la ofisi zao,wafanyakazi nk pesa za kuwalipa wanatoa wapi??
Wewe fala ni lini umewahi kulipia JF? Na ni lini umewahi kulipia google search engene? Matako kabisa wewe.
 
shukrani mkuu ze bold....kwa kuongezea chumba cha ufahamu ktk jengo la ubongo wng wa ufahamu wa mambo ya kidunia...
"we 'r waitin the king master"
hujawahi kuniangush broh...
natamani sana kuja huko whtsapp....lakini nina minyororo na ID yng.... hav a nyc day mkuu....
Mkuu Juma,hatutaki kuijua ID yako,kule tunajumuika bila kujali huyu ni nani JF.

Unless uwe na sababu zako nyingine ila kuhusu ID hakuna mwenye kutaka kuijua.
 
pongezi kwako mkuu @TheBold unanifundisha mengi kiasi stress zote zimejiformat automatical kwa thread zako,mkuu usichoke
 
Mkuu The Bold hongera kwa kuweza kuandaa makala kama hii ila nilikuwa na ombi moja, kama inawezekana mwisho wa makala zako uwe unaweka references ili kwa watakaohitaji kuingia ndani zaidi waweze kuwa na muongozo.
You're much appreciated mkuu
 
Umetendea haki maandishi yako!!

Umetendea haki utafutaji WA habari na uchambuaji!.
Nadhani kuna haja ya kutengeneza documentarie za matukio tata kama izo!
Am waiting for king maker !.
Shukrani sana Mkuu..
Pamoja!
 
Back
Top Bottom