Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi sisi tumekosa kila kitu.Unaweza ukawa na fedha nyingi usiwe na akili ya kuzitumia.
Ukipewa fedha nyingi utanunua vifaa vinavyohitaji ila inahitaji akili kuset hivyo vifaa na kutengeneza kitu chenye uhalisia.
My favourite of all time
Dah,bringing back the memories...naipenda sana hii
"Green is often used as the background color behind the scenes in television, film, and theater because it provides a strong contrast to human skin tones, which are typically warm colors.green why not orange yellow grey etc?
Watawaua mabeberu sio sisi.....huo muda unanyonywa hivo na huyo zombie umetulia tu? Au unapiga kelele za mamaaaaa naumiaaaMtatuua bure...romance hamjui mnang'ata ulimi wakati wa wet kiss au mnanyonya lips hadi zinawaka moto kama mnyonya damu😂😂😂
Hii bajeti inatengeneza bongo movie zaidi ya 10000Sana tu, imagine budget ya movie ni $200m na zaidi
Tatizo laanza kwa kuangalia porn na kutaka fanya ka waleBehind the scenes za kwichi ndio hatari.....niligundua kumbe mabeberu wanataka tu kutuua na hii mikongo miti sio heavy kama ile wanatuonesha.