Behold what the West and Israel has done by overthrowing Assad in Syria

Behold what the West and Israel has done by overthrowing Assad in Syria

Imeniuma sana kuuwa binadani hadharani namna hiyo.kwa Nini wasingemfunga jela tu na siyo kufanya huo ujinga walioufanya.Hii serikali mwisho wake utakuwa mbaya.
Hao washenzi waliwafanyie Raia hivyo hivyo tena wakitamba hadharani huku wanacheka.

Angalau wao wanalipa walichofanya. Lakini Raia wa Syria hata comment ya mtandaoni tu ungefumuliwa ubongo hadharani.
 
mwisho wa Zionists utakua mbaya sana
 
Hii video ya kunyonga Mtu hadharani ni matokeo ya Extremism aliyowaonesha Assad watu wa Syria ili kuwaogopesha wapinzani dhidi yao.

Sometimes akiwashuti hadharani wakosoaji ili kutisha wengine.

Sasa imefika mahali watu wameshazoea.

It is very bad very bad kwamba binadamu anaweza kufanya kitendo kam hiki. Lakini ndio matokeo.
Imebakia sasa kutimia kwa Unabii wa kuangamizwa Damascus! Isaya 17:1.
 
Mleta mada acha upotoshaji.Aliyenyongwa sio Suleiman Hilal Assad cousin wa Bashar Assad.Huyo pichani Ammar Assad ambaye alihukumiwa kwa kosa la kuua raia mwenzake.Ammar Asad hana undugu na Bashar Assad ni majina tu yanafanana.
Kabla ya kukopi na kupaste tumia akili yako kutafuta ukweli.Nasema hivi kwasababu umekuwa na tabia ya kubeba habari nyingi za uongo kutoka mtandaoni na kuzileta hapa bila kuzichuja.
Grow up!
 
Behold What We Have Done by Overthrowing Assad in Syria

Behold what the West and Israel has done by overthrowing Assad in Syria​


Hal Turner World December 10, 2024
Behold What We Have Done by Overthrowing Assad in Syria


America, Europe, Israel, Turkey, Saudi Arabia et.al., the three brief videos below demonstrate what YOU have done, by overthrowing President Bashar Al-Assad of Syria. This is who YOU actually are . . .
The HTS Terror group, whom each of the countries above supported, overthrew President Bashar al-Assad of Syria last weekend. Here are just some of the initial results:
Cousin of Bashar Assad HUNG publicly, by crane(below)

Average, everyday Syrians grabbed off the street by HTS, and Machine-gunned to death in public(below)

Wounded Syrian Soldiers, in a hospital, machine-gunned to death in their hospital beds(below)

SURRENDERING Syrian Soldiers, unarmed with hands-up, machine-gunned to death(below)


This is just on day one of the new HTS "government" of Syria.
Want to laugh? The British government is now fast-tracking the REMOVAL of HTS from the list of Terrorist organizations!
That's how degenerate the British government has actually become. You folks in the UK must be so proud. After all, YOU elected these people! The videos above, are the results of your vote.
Similar moves are expected in the United States, lead by the US State Department which declared HTS an international terrorist organization, and even promoted a $10 Million Bounty on the head of the HTS Leader, Mohammad al-Jawlani, who the State Department NOW recognizes as the new "Leader" of Syria.
So the degeneracy is certainly not limited to the British government, we've got more than our share of degenerates working in the US Government, too.
Oh, and they already know, that WE know they've turned over an entire country to these types of people, so our trusted government public servants, are now lying to our face as they tell us "These are moderates that run Syria now."
You've just seen what the reality is; do they look like "moderates" to you?
You folks in governments all over the world, who decided that overthrowing Assad was so necessary, facilitated the acts shown in the videos above. YOU are as guilty as the people who perpetrated the acts.
You're disgusting to me. I don't respect you, I spit at you.

UPDATE 4:44 PM EST --
The morons in the White House (Biden and his appointees) just issued a statement:

" We are reaching out to all Syrian groups in ways that include mediators to support the transition process."
That's how disconnected from reality these people in the White House actually are.
In my view, they are classic examples of the Dunning-Kruger Effect. Look it up. It's when people of low intellect are so amazingly stupid, they actually start to believe THEY know better and are superior. Put simply, the Dunning-Kruger effect is when people who are so stupid, they are too stupid to even realize they're stupid, so they think they're smart. THAT is the United States Federal Government.
US. Europe, Israel na Al Wahab from Saud Arabia ndio ISIS na Al Qaeda
 
US. Europe, Israel na Al Wahab from Saud Arabia ndio ISIS na Al Qaeda
Nimewashangaa sana Syrians kufurahia ujio wa HTS,sijui wamesahau Libya, Somalia na Sudan ya Kaskazini.....!?Kama mazuzu vile.Yaani hadi huruma.
 
Nimewashangaa sana Syrians kufurahia ujio wa HTS,sijui wamesahau Libya, Somalia na Sudan ya Kaskazini.....!?Kama mazuzu vile.Yaani hadi huruma.
Sio wote wamefurahi hata wakristo waliopo Syria hawaja furahi, sababu hao jamaa sa yoyote ile wanaweza walisha mchanga.

Aljazeera na channels za kiarabu hao ndio wana wapamba kusema Wasyria wamefurahi. Kweli Assad ana makosa kwani Shetanyahu yeye hana makosa? Mbona US hampindui au kusema ni dictator 😂
 
Back
Top Bottom