Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Wanafiki watakwambia ndioKwa hiyo waliochinja wengine nao wao wakichinjwa hivi Sasa Kuna unabaya wowote hapo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanafiki watakwambia ndioKwa hiyo waliochinja wengine nao wao wakichinjwa hivi Sasa Kuna unabaya wowote hapo?
Hao washenzi waliwafanyie Raia hivyo hivyo tena wakitamba hadharani huku wanacheka.Imeniuma sana kuuwa binadani hadharani namna hiyo.kwa Nini wasingemfunga jela tu na siyo kufanya huo ujinga walioufanya.Hii serikali mwisho wake utakuwa mbaya.
🤣🤣What you so? Si ndio hivyo
Hahahaha......anajiskia raha tu kunikosoa.🤣🤣
Easy bro, kikubwa umemuelewa.
What goes around will come silently!Assad alisambaza vikosi vya wasiojulikana Nchi nzima.
Wa Syria waliishi kama Jehanamu ndani ya Nchi yao.
Uzuri ni kuwa chochote mtu anachofanya dhidi ya wenzake dunia huwa inaona. Hakunaga siri. Ni swala la muda tu.
Sema kweli ni what you so au ni what you saw?Hahahaha......anajiskia raha tu kunikosoa.
Ni what you saw? Si ndio hivyo sio what you soHahahaha......anajiskia raha tu kunikosoa.
What you saw? Si ndio hivyo
Imebakia sasa kutimia kwa Unabii wa kuangamizwa Damascus! Isaya 17:1.Hii video ya kunyonga Mtu hadharani ni matokeo ya Extremism aliyowaonesha Assad watu wa Syria ili kuwaogopesha wapinzani dhidi yao.
Sometimes akiwashuti hadharani wakosoaji ili kutisha wengine.
Sasa imefika mahali watu wameshazoea.
It is very bad very bad kwamba binadamu anaweza kufanya kitendo kam hiki. Lakini ndio matokeo.
What you sow sio what you saw.What you saw? Si ndio hivyo
US. Europe, Israel na Al Wahab from Saud Arabia ndio ISIS na Al QaedaBehold What We Have Done by Overthrowing Assad in Syria
Behold what the West and Israel has done by overthrowing Assad in Syria
Hal Turner World December 10, 2024
![]()
America, Europe, Israel, Turkey, Saudi Arabia et.al., the three brief videos below demonstrate what YOU have done, by overthrowing President Bashar Al-Assad of Syria. This is who YOU actually are . . .
The HTS Terror group, whom each of the countries above supported, overthrew President Bashar al-Assad of Syria last weekend. Here are just some of the initial results:
Cousin of Bashar Assad HUNG publicly, by crane(below)
Average, everyday Syrians grabbed off the street by HTS, and Machine-gunned to death in public(below)
Wounded Syrian Soldiers, in a hospital, machine-gunned to death in their hospital beds(below)
SURRENDERING Syrian Soldiers, unarmed with hands-up, machine-gunned to death(below)
This is just on day one of the new HTS "government" of Syria.
Want to laugh? The British government is now fast-tracking the REMOVAL of HTS from the list of Terrorist organizations!
That's how degenerate the British government has actually become. You folks in the UK must be so proud. After all, YOU elected these people! The videos above, are the results of your vote.
Similar moves are expected in the United States, lead by the US State Department which declared HTS an international terrorist organization, and even promoted a $10 Million Bounty on the head of the HTS Leader, Mohammad al-Jawlani, who the State Department NOW recognizes as the new "Leader" of Syria.
So the degeneracy is certainly not limited to the British government, we've got more than our share of degenerates working in the US Government, too.
Oh, and they already know, that WE know they've turned over an entire country to these types of people, so our trusted government public servants, are now lying to our face as they tell us "These are moderates that run Syria now."
You've just seen what the reality is; do they look like "moderates" to you?
You folks in governments all over the world, who decided that overthrowing Assad was so necessary, facilitated the acts shown in the videos above. YOU are as guilty as the people who perpetrated the acts.
You're disgusting to me. I don't respect you, I spit at you.
UPDATE 4:44 PM EST --
The morons in the White House (Biden and his appointees) just issued a statement:
" We are reaching out to all Syrian groups in ways that include mediators to support the transition process."
That's how disconnected from reality these people in the White House actually are.
In my view, they are classic examples of the Dunning-Kruger Effect. Look it up. It's when people of low intellect are so amazingly stupid, they actually start to believe THEY know better and are superior. Put simply, the Dunning-Kruger effect is when people who are so stupid, they are too stupid to even realize they're stupid, so they think they're smart. THAT is the United States Federal Government.
Sio wote wamefurahi hata wakristo waliopo Syria hawaja furahi, sababu hao jamaa sa yoyote ile wanaweza walisha mchanga.Nimewashangaa sana Syrians kufurahia ujio wa HTS,sijui wamesahau Libya, Somalia na Sudan ya Kaskazini.....!?Kama mazuzu vile.Yaani hadi huruma.