Quinton Canosa
JF-Expert Member
- Nov 2, 2012
- 1,224
- 1,250
nashukuru kamandaNenda manispaa/ardhi wanaviwanja vilivyopimwa kabisa na bei zake kwa Square meter.
Mkurugenzi wake alikamatwa kwà utapeli wa viwanja na kutokutoa hati za watu ambao wameshalipia.utapata kwa milioni 10-12 ...waone kambele investment ni madalali mashuhuri northen region yote
Kwahiyo ameacha udalali wa viwanja!Mkurugenzi wake alikamatwa kwà utapeli wa viwanja na kutokutoa hati za watu ambao wameshalipia.
Alikamatwa lini mkuu.?Mkurugenzi wake alikamatwa kwà utapeli wa viwanja na kutokutoa hati za watu ambao wameshalipia.
Kiserian unapata ni moshono chini huko 20×20 nadhani around 7M kushuka chiniAlikamatwa lini mkuu.?
ASANTEKiserian unapata ni moshono chini huko 20×20 nadhani around 7M kushuka chini
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila bado wanaendelea na udalali maana naonaga ofisi zao bado zipo waz dailyMkurugenzi wake alikamatwa kwà utapeli wa viwanja na kutokutoa hati za watu ambao wameshalipia.
milioni 7, madalali ndio wanapandishaHabari wanajamii forums,
Nilikuwa naulizia bei ya kiwanja 20x20 kwa maeneo ya Arusha hasa moshono,maana mdau kaniambia sio chini ya milioni 10,kwa wadau WAZOEFU kiwanja ukubwa huo naweza kukipata kwa bei gani ambayo ni halali kabisa.
Ahsanteni.