Bei mpya ya Bia inaanza lini rasmi?

Bei mpya ya Bia inaanza lini rasmi?

Kwe inatakiwa Serikali iangalie hili, Mafuta yamepanda ilipofika tarehe 1 bila kujali stole iliyokuwepo awali lakini bia bado bei iko palepale
 
Wakuu tupeane mrejesho!

Bunge letu tukufu lilipunguza bei ya kinywaji pendwa kwa Watanzania, sasa mpaka sasa hivi mwaka wa fedha mpya hatujapata bei mpya -- kulikoni?
Mna Bunge Tukufu tangu lini?
 
Nlikuwa kwwnye pub moja nlimuliza mhudumu
Anadai eti mpaka wamalize stock ya zamani
Sijamuelewaaa kabisaaa

Ova
 
Tanzania kwanza tunauziwa makapi ya bia kwa muda mrefu uliopita Jana ndo nimekunywa bia japo nlikunywa nne kwa said ya 16k lakini nilifurahia Ile taste yake Yan ilkua n Ile real bia kwa tulianza kunywa pombe zile 500ml nadhani mnanielewa.

Kenya wanakunywa bia tamu aisee Yan nlipiga na kucheua safii kabisa
IMG_20210701_140111_6.jpg
IMG_20210701_135405_3.jpg
 
Wakuu tupeane mrejesho!

Bunge letu tukufu lilipunguza bei ya kinywaji pendwa kwa Watanzania, sasa mpaka sasa hivi mwaka wa fedha mpya hatujapata bei mpya -- kulikoni?
Iliyotolewa fasta ni ile ya petroli, huwaga haichelewi hata kwa bahati mbaya....
 
Mimi naomba tu kufundishwa namna ya KUBET!! Maana hakuna namna, ili tufidie hizi TOZO za Mwigulu! 😁😁😁

Huwa nasikia tu kuna Odds, odds 1.5, odds 2!!! Sijawahi kuelewa zinamaanisha nini!!
Kweli bhana watumishi tuanze kujilipua kwenye ku-bet, loni bodi wenyewe wanakamua na deni halishuki....
 
Tanzania kwanza tunauziwa makapi ya bia kwa muda mrefu uliopita Jana ndo nimekunywa bia japo nlikunywa nne kwa said ya 16k lakini nilifurahia Ile taste yake Yan ilkua n Ile real bia kwa tulianza kunywa pombe zile 500ml nadhani mnanielewa.

Kenya wanakunywa bia tamu aisee Yan nlipiga na kucheua safii kabisa View attachment 1838038View attachment 1838039
Sidhani kama Ni ukweli,labda lengo lako ulitaka kutuonesha kuwa umekunywa balozi
 
Weekend ya kwanza sio; tunapaswa tukutane na waliolewa chakariii wakihangaika kujaza mafuta kwenye magari yaliyozima barabarani, kwa vichupa vya 1.5ltrs😀😀😃😃
Kwani bei ya 27,000 imeshaanza? Hizo ni ngonjera za bungeni tu utekelezaji wake haupo.mpaka sasa Waulize Tanesco wamekwama wapi? Wanasema system ya kulipia control number bado haijerekebishwa ni mwezi sasa hawapokei bei mpya wala ya zamani wamesimama wakisubiri system ijirekebishe yenyewe
 
Hadi serikali itoe bei elekezi, na mzigo uliokuwa kwenye stock kiwandani, kwenye ma godown, stores na bar uishe. Serikali kuongea ni jambo moja na utekelezaji ni jambo lingine
 
Back
Top Bottom