Bei mpya ya lake gas Igunga

Bei mpya ya lake gas Igunga

noel oga

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2015
Posts
272
Reaction score
219
Habari,

Mazingira yangu ya kazi ni kijijini nahitaji kujaza gesi ya lake pale Igunga mtungi wa kg 15 nauliza je bei ya sasa ya kujaza kg 15 ni bei gani. Nauliza nipate uhakika maana naagiza mtu kutokana na mazingira niliyopo.

Msaada watu wa Igunga hapo.
 
ahsante je unahisi bei hii huenda ikawa sawa na pale tabora igunga
mpe huyo unayemuagiza 50,000/= mwambie change arudishe..
maana mtu wa Igunga anaweza asiuone huu uzi kwa wakati.
 
mwambie aje na rist mdanganye unaipeleka ofisini kwako
 
mwambie aje na rist mdanganye unaipeleka ofisini kwako
Risiti wakaandika tofauti mkuu,nishawahi agiza mtu anijazie mtungi huo wa kg 15 aniletee na risiti,alifanya hivyo lkn nilinote makosa Fulani ambayo yalionesha nimepigwa,45000 ikaandikwa 48000 elfu. Halafu mtungi wa kg 15 akaandika kg 30

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom