Bei Ya Alizeti Singida

Bei Ya Alizeti Singida

lila

Member
Joined
Aug 7, 2012
Posts
38
Reaction score
5
Hbr pple,

Naulizia msimu wa kuvuna alizeti Singida ni kipindi gani na bei hua kiasi gani na kwa kipimo kipi tafadhali....Kwa mwana Jf anaeishi Singida plz anitafute kwa msaada zaid.
 
msimu unaanza mwezi may na kuemdelea bei ni tsh 11000 kwa lita tano bei ya jumla,je umepata soko la bei gani?
 
Back
Top Bottom