Bei ya Diesel chini, Nauli bado palepale

Mkimbizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2008
Posts
222
Reaction score
35
Wana jamii wenzangu najiuliza, BEI YA MAFUTA IMESHUKA, NAULI VIPI?
 
Nauli kama kawa iko pale pale.., hii ni bongo mkuu. Habari ndio hiyo.
 
Ssa hivi serikali iko kwenye road licence, income tax, insurance nafikiri bado kuangalia mustakabali wa mafuta kushuka bei. Ni awamu kwa awamu ngazi kwa ngazi. Don't you know that our Government is a government of precedent. Ufisadi kwanza then mafuta baadae. Hata huzima moto baada ya nyumba kuungua yote na hivyo kupoteza hata mafuta ya gari ya fire brigade
 
Hivi bei ya sasa diesel ni shilingi ngapi? I wonder kama punguzo la bei ya mafuta duniani linalingana na punguzo la bei ya diesel
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…