Ssa hivi serikali iko kwenye road licence, income tax, insurance nafikiri bado kuangalia mustakabali wa mafuta kushuka bei. Ni awamu kwa awamu ngazi kwa ngazi. Don't you know that our Government is a government of precedent. Ufisadi kwanza then mafuta baadae. Hata huzima moto baada ya nyumba kuungua yote na hivyo kupoteza hata mafuta ya gari ya fire brigade