Job Richard
JF-Expert Member
- Feb 8, 2013
- 3,876
- 2,190
Spring sio godoro kwa anaeumwa mgongo hapo unamuongezea kuumwa zaidi zipo godoro mbili tu hapo either special kwako Orthopedic brands zipo nyingiKama una matatizo ya mgongo, nunua godoro la spring la tanfoam hutojutia. Bei ya mwaka juzi ilikua Tsh 550,000/- Size 5x6. La ukweli sana hutojutia.
vizuri umepata bossAhsanteni kwa michango yenu wadau, niliwasiliana na makao makuu ya tanfomu Arusha kiwandani, wakanielekeza kwa wakala wao Mwanza , tukawasiliana na wakala na jmatatu naenda kuchukua kwenye godown lao hapa Mwanza, bei elekezi ni 330000 godoro la tanfomu 5×6 inch 8 edge
QFl ndio lenye weeeHayo magodoro dodoma yananichanganya kuna siku muuzaji aliniambia kuna aina mbili za magodoro dodoma, kuna QFL magodoro dodoma na kuna magodoro dodoma asilia hata kwenye cover yameandikwa dodoma asilia sasa sijui ni kampuni mbili tofauti au ni kampuni 1
Popote ni umakini tu hakuna kiwanda kinachotengeneza fake bossUsinunue godoro kwenye maduka ya kawaida hapo ulipo jitahidi ufike kwa wakala wa Tanfoam hutojutia.
Godoro madhubuti,imara na maridadi kabisa kwa thamani ya pesa yako.
Wacheki jamaa wanauza og boss ofisi yao kawe 0763542515Tanfoam wana godoro 6×6×8 Wakuu?
Ok BossWacheki jamaa wanauza og boss ofisi yao kawe 0763542515
Aisee kwa kweli imepanda ila ni godoro zuri sna hutojuuuuta kamweBei ni ya muda hiyo boss kwa Tan foam maana kwa sasa limeenda 320000 mpaka 330000
Hizo ndio godoro alinunua Babu mpaka mjukuu analitumiaAisee kwa kweli imepanda ila ni godoro zuri sna hutojuuuuta kamwe
Yaani siooo godoroNatumia hilo la GSM lakini linabonyea ukilala ukiamka unajisikia kabisa hauko poa. Wallah sikutegemea kama lingekuwa na sagging this much maana lilipigiwa debe sana kuwa ni zuri. DISSAPOINTED 🤔
Niliwahi kununu godoro pale kwenye maonesho ya 77, jinsi lilivyonifanya, maonesho yaliofatia ya 77 niliwafata nikawaaambia ukweli kwamba magodoro yenu hayana viwango, povu likawatoka, nikawaacha hapo nikaondoka. Magodoro ya GSM ni uchafu tuYaani siooo godoro
Naomba mawasiliano yake.Ahsanteni kwa michango yenu wadau, niliwasiliana na makao makuu ya tanfomu Arusha kiwandani, wakanielekeza kwa wakala wao Mwanza , tukawasiliana na wakala na jmatatu naenda kuchukua kwenye godown lao hapa Mwanza, bei elekezi ni 330000 godoro la tanfomu 5×6 inch 8 edge
Naomba mawasiliano yao.Mkuu hamna kitu napenda kama kitu Bora et , hapa penyewe najipanga kununua mziki wa Sony tz 40, miziki ya kichina China sjui kodtec, sea piano, boss n.k hapana Kwa kweli, kuhusu godoro la Tanfomu nilienda maduka ya mtaani wanauza 250k, nikaenda kwenye duka moja kubwa kdogo jamaa akanambia 300K, nikamwambia mbna wengne wanauza Kwa 250, akasema hyo ni paste , akasema kama nahtaji hzo yeye atanipa Kwa 230K, but Kwa Tanfomu og mwisho ni 300k, ....
Nikaona isiwe tabu , nikawatafuta Tanfomu makao makuu Arusha wakanielekeza Kwa wakala mkuu Kanda ya ziwa, nikawanyokea kwenye depo yao wakadai bei ya kuuza ni 300K, ila wakaniambia msimu wa siku kuu huwa kuna punguzo mpak asilimia 25 ko nikihitaj Zaid nitegee msimu wa sikukuu, mi nikachukua bidhaa nikasepa, kama wamenipiga fresh Ila kwangu nimechukua kitu nilichojiridhisha....
Itakuwa ni kweli hiyo ishu ya msimu wa sikukuu. Maana hata mimi kuna kipindi nilienda ilikuwa karibia sikukuu za mwezi wa 12 wakaniuzia bei pungufu wakidai kuwa huwa wanapunguza bei msimu wa sikukuuMkuu hamna kitu napenda kama kitu Bora et , hapa penyewe najipanga kununua mziki wa Sony tz 40, miziki ya kichina China sjui kodtec, sea piano, boss n.k hapana Kwa kweli, kuhusu godoro la Tanfomu nilienda maduka ya mtaani wanauza 250k, nikaenda kwenye duka moja kubwa kdogo jamaa akanambia 300K, nikamwambia mbna wengne wanauza Kwa 250, akasema hyo ni paste , akasema kama nahtaji hzo yeye atanipa Kwa 230K, but Kwa Tanfomu og mwisho ni 300k, ....
Nikaona isiwe tabu , nikawatafuta Tanfomu makao makuu Arusha wakanielekeza Kwa wakala mkuu Kanda ya ziwa, nikawanyokea kwenye depo yao wakadai bei ya kuuza ni 300K, ila wakaniambia msimu wa siku kuu huwa kuna punguzo mpak asilimia 25 ko nikihitaj Zaid nitegee msimu wa sikukuu, mi nikachukua bidhaa nikasepa, kama wamenipiga fresh Ila kwangu nimechukua kitu nilichojiridhisha....