Mbolabilika
JF-Expert Member
- Jul 30, 2019
- 2,128
- 2,867
Anataka tuongope tumenunua GB1 kwa elfu 13 wakati umetoa 1000 tu hv anaakili kwel huyuNiljua huyu kilaza wa kupuuzwa angepost, alafu anabishana na wananchi wenyewe wanaolipa hizo charges, the irony.
Majibu yenu kwenye huu uzi ni dhihirisho tosha jinsi kingereza kinawatesa, na kitawatesa sana hadi kwa mkulu. Hayo matangazo Dar ya 'jifunze kingereza kwa miezi mitatu' hayatawafaidi kitu maana nyie wenyewe ni wazembe tu.
Mbna wewe unajivuni kiswahili wala sio kisukuma...
Akili mgando kwel
Nyerere kawapoteza sana, mwenzenu mnafikiria alikomaa na lugha moja...aliwafanyia hvo ndio mgande akili ili apate kuwashikilia vizuri akili zenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha kurukia mashaza jomba, huoni mwenzako kakimbia...Sasa kwan umeambiwa kiswahili lugha ya mabeberu kiswahili lugha namba 1 ya taifa la Tanzania ,hajamaanisha lugha ya makabila amemaanisha ya taifa tulingie kisukuma Tanzania kuna kabila moja ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio ujivunie lugha ya mababu zako sasa, wacha kujipiga kifua na kiswahili..Sasa kwani mi msukuma?
Wacha kurukia mashaza jomba, huoni mwenzako kakimbia...
Tatizo lenu hamsomi mkaelwa kwanza, huaga mnakurupuka tu walai...
Mwenzako kasema "mbna hatujivunii lugha zetu" haya sasa wewe hapo nieleze lugha ya taifa aliyomaanisha ni ipi
Sent using Jamii Forums mobile app
Bwahahaaaa!!!imekuingia hyo[emoji382][emoji382][emoji382]Alikwambia hivyo kwasababu anajua hamna lugha maalum ya taifa mpaka Leo karne ya 21 hamjielewi mushike wapi hahahaha taifa lenye lana
Sent using Jamii Forums mobile app
Utapata tabu sana kuwaelewesha hawa jamaa...
Kiufupi tanzania internet ni ghali mno, wao hupagawa na offer za kijinga jinga za daily. kumbe hawajui km kenya ksh1500, unapata unlimited data unaunga na watu wengine pia...
Mk254 ..sai nipo nimetulia natumia wi-fi pole pole tu kw bei rahisi kabisa
View attachment 1294321
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kweli nimechoka na Manyang'au kutuona tuna shida kumbe wao ndiyo balaa, sijuwi wakoje, wanatuibia Ml. Kili, Meru, Wasanii wetu na nini na nini, siye tunawatizama tu, kama haitoshi wanakuja na story zisizo na mshiko kama hizi?! Inatosha kwa kweli...
Bwahahaaaa!!!imekuingia hyo[emoji382][emoji382][emoji382]
Endelea kumtafsiria alichokiandika tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]lkn ujue ukwel siku zote mchungu ndo manake naona umeamua kujichekesha ulipoona nimekubana kisawa sawa...
Sent using Jamii Forums mobile app
you are a giant of a fool, hujui hata unaloandika, always posting shits. kuanzia leo naku-ignore, nani alikwambia GB1 ni $5.93 Tanzania.. Pumbavu kabisaHizi taarifa zinahitaji akili kuzielewa, usijibu kwa kuwaza kuhusu offers na vifurushi vya makampuni.
Ndugu zetu mko nyuma sana, huwa mumechelewa kupita maelezo.
Average price of 1GB
Kenya - $2.73
Tanzania - $5.93
Uganda - $4.69
Worldwide Mobile Data Pricing 2023 | 1GB Cost in 237 Countries
A global league table of mobile data costs. The average cost of one gigabyte (1GB) compared from over 5,600 mobile data plans in 237 countries.www.cable.co.uk
Tatizo la watanzania hawasominwalaelwa, wao kazi kukurupuka tu[emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Bwaaahhhhhaaaa naona upo Uhuru parkUtapata tabu sana kuwaelewesha hawa jamaa...
Kiufupi tanzania internet ni ghali mno, wao hupagawa na offer za kijinga jinga za daily. kumbe hawajui km kenya ksh1500, unapata unlimited data unaunga na watu wengine pia...
Mk254 ..sai nipo nimetulia natumia wi-fi pole pole tu kw bei rahisi kabisa
View attachment 1294321
Sent using Jamii Forums mobile app
Ugua pole pole jomba[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kumbe siku hz mtu akisema "lugha zenu" anamaanisha lugha ya taifa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Eti umenibana wakati unabwabwaja maneno yasiyo na maana lazima usimuelewe kwasababu kiswahili nacho mpaka usome shule ndo uwez kuongea
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapuuze tu...manake naona wanamwaga povu hatariNeno 'Unlimited' limewashinda kuelewa, kwa kweli Kenya tumepiga hatua sana, yaani tushindwe wenyewe tu, sikutegemea ipo siku itakuja Mkenya apatae internet bila kikomo kwa 1,500 kwa mwezi, halafu yenyewe unaigawa kwa familia yote kila mtu anatumia atakavyo.
Mimi nilianza kutumia internet kuanzia enzi za dial-up, ulikua unapiga simu kwanza ili modem iunge, gharama yake ilikua 45 Kshs kwa dakika. Tumetoka mbali sana.
Wa Kenya kila wanachofanya lazima wachungulie kwanza kwa Tz. Wakati wa Tz hawana habari na malofa.
Sent using Jamii Forums mobile app