Naona hoja imekushinda[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]MK254 njoo huku , umepata sapoti kutoka Kwa mkenya NYANYA MBOVU komora
Sent using Jamii Forums mobile app
Utapata tabu sana kuwaelewesha hawa jamaa...
Kiufupi tanzania internet ni ghali mno, wao hupagawa na offer za kijinga jinga za daily. kumbe hawajui km kenya ksh1500, unapata unlimited data unaunga na watu wengine pia...
Mk254 ..sai nipo nimetulia natumia wi-fi pole pole tu kw bei rahisi kabisa
View attachment 1294321
Sent using Jamii Forums mobile app
Eeeee tecno[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mbwembwe nyingi Kumbe unatumia Tekno[emoji2][emoji2][emoji2]
Halafu umeona kumbe wengi wanatumia michina[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huwa napata raha sana wakitokwa udenda hivi, wote wanaimba pambio moja ya kuanika screenshot za simu...hehehe
WAJINGA NYIENaona hoja imekushinda[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unalinganisha unlimited data na vifurushi vya kawaida...
Kweli dunia ina maajabu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo Kenya mitandao yenu ya simu inatoa vifurushi vya unlimited data?Naona hoja imekushinda[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unalinganisha unlimited data na vifurushi vya kawaida...
Kweli dunia ina maajabu
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua maana ya internet kwanza before tuendeleeKwahiyo Kenya mitandao yenu ya simu inatoa vifurushi vya unlimited data?
Ndiyo haya jibu swali langu.
Km ungelijua maana ya internet kwel wala usingelikua unabisha hapa sai..Ndiyo haya jibu swali langu.
Sibishi nimeuliza swali fupi tu. Naomba jibu.Km ungelijua maana ya internet kwel wala usingelikua unabisha hapa sai..
Sent using Jamii Forums mobile app
Thats y nikakwambia km ungelikua unajua maana ya internet usingeliuliza hilo swali...kw akili yako huduma za internet hutolewa na mitandao ya simu pekeake[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]Sibishi nimeuliza swali fupi tu. Naomba jibu.
Hamna mahali nimesema huduma ya internet inatolewa na mitandao ya simu tu bali nimeomba kujua mitandao yenu ya simu inatoa vifurushi vya unlimited data? Nimeona wachangiaji wengi wa Tanzania wanalingisha bei za internet wanazopata kupitia mitandao yao ya simu lakini sijaona Wakenya mkiongelea vifurushi vyenu vya mitandao ya simu. Kwa mfano Watanzania wanasema wanapata 1GB for TZS 1000, je nyie Kenya mnapata 1GB kwa KES ngapi kupitia mitandao yenu ya simu? na ofa za unlimited data mnapata hadi kwenye mitandao ya simu? Nitashukuru ukinijibu.Thats y nikakwambia km ungelikua unajua maana ya internet usingeliuliza hilo swali...kw akili yako huduma za internet hutolewa na mitandao ya simu pekeake[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Yani unachangia mada ambayo hta hujaielewa kabisa...rudi juu ukasome kichwa cha huu uzi kwanza...
Sent using Jamii Forums mobile app
Km ungelijua maana ya internet kwel wala usingelikua unabisha hapa sai..
Sent using Jamii Forums mobile app
Akikujibu [emoji23][emoji23][emoji23]Hamna mahali nimesema huduma ya internet inatolewa na mitandao ya simu tu bali nimeomba kujua mitandao yenu ya simu inatoa vifurushi vya unlimited data? Nimeona wachangiaji wengi wa Tanzania wanalingisha bei za internet wanazopata kupitia mitandao yao ya simu lakini sijaona Wakenya mkiongelea vifurushi vyenu vya mitandao ya simu. Kwa mfano Watanzania wanasema wanapata 1GB for TZS 1000, je nyie Kenya mnapata 1GB kwa KES ngapi kupitia mitandao yenu ya simu? na ofa za unlimited data mnapata hadi kwenye mitandao ya simu? Nitashukuru ukinijibu.
Naona siku hizi una mahaba na comments zangu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mod,,,,, hivi ukitaka kichekesho cha komora unabofya wapi???? Please komora weka ile picha ya AIFONI yako tucheke kidogo ,
Sent using Jamii Forums mobile app
Offer za unlimited wapo watu km zuku wanatoa...Hamna mahali nimesema huduma ya internet inatolewa na mitandao ya simu tu bali nimeomba kujua mitandao yenu ya simu inatoa vifurushi vya unlimited data? Nimeona wachangiaji wengi wa Tanzania wanalingisha bei za internet wanazopata kupitia mitandao yao ya simu lakini sijaona Wakenya mkiongelea vifurushi vyenu vya mitandao ya simu. Kwa mfano Watanzania wanasema wanapata 1GB for TZS 1000, je nyie Kenya mnapata 1GB kwa KES ngapi kupitia mitandao yenu ya simu? na ofa za unlimited data mnapata hadi kwenye mitandao ya simu? Nitashukuru ukinijibu.
Utajichagulia mwnywe km unataka gani..Hamna mahali nimesema huduma ya internet inatolewa na mitandao ya simu tu bali nimeomba kujua mitandao yenu ya simu inatoa vifurushi vya unlimited data? Nimeona wachangiaji wengi wa Tanzania wanalingisha bei za internet wanazopata kupitia mitandao yao ya simu lakini sijaona Wakenya mkiongelea vifurushi vyenu vya mitandao ya simu. Kwa mfano Watanzania wanasema wanapata 1GB for TZS 1000, je nyie Kenya mnapata 1GB kwa KES ngapi kupitia mitandao yenu ya simu? na ofa za unlimited data mnapata hadi kwenye mitandao ya simu? Nitashukuru ukinijibu.
Mkifika level hii mnitag[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]