Pumba Mwiko
Member
- Mar 16, 2011
- 71
- 8
Heshima kwenu wana JF.Naomba yeyote mwenye kujua bei ya jumla ya Red bull(Case) na sehemu ninazoweza kupata Dar es salaam.Nipo mkoani na sina mawasiliano na mtu yeyote Dar.Naomba aliye na info za hiyo kitu anijuze tafadhari.Shukurani.