Bei ya kokoto nyeusi za ujenzi (black granite)

Senior Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2011
Posts
3,405
Reaction score
3,689
Wasaalam wakuu,

Husika na title hapo juu. Kuna tafiti ndogo binafsi nafanya kuhusiana na supply and demand za kokoto nyeusi (black granite) za ujenzi.

Ningependa ushirikiano wenu kuhusu bei zake per cubic meter hapa Dar na gharama zake kuzitoa from plant mpaka eneo la site (hapa dar), if possible na bei za hawa wauzaji wadogo pia.

Bila kuhasau na zile ndogo kabsa za 5cm za kutengeneza paving blocks i.e. per cubic meter.

Wa mikoani karibuni pia.

Many Thanks.


Senior Boss
 
Hapa katikati ya tegeta na mbuyuni kituo kinaitwa jkt
 
Unaweza usipate majibu ambayo yako practical sana kwasababu wauzaj wengi wa kokoto wanauza kwa kuladiria has a wafanyabiashara wadogo ila kwa Lugoba cubic mita 15 in lak nane.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…