luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Sasa hivi bei ya ku print na photocopy zimepanda maradufu, wataalam wa stationery wanasema sababu kuu ni kupanda kwa bei ya rim paper za size ya A4, wanasema bei ya sasa ni almost 90 elfu Tsh, ambapo zamani ilikuwa ina range 35 elfu.
Na zipo fununu hawa watu wa stationery wanasema huyo supplier ni mmoja ndio analeta izo papers ...
Serikali itusaidie maana hali sio nzuri
Na zipo fununu hawa watu wa stationery wanasema huyo supplier ni mmoja ndio analeta izo papers ...
Serikali itusaidie maana hali sio nzuri