Bei ya ku-print na photocopy zimepanda maradufu

Bei ya ku-print na photocopy zimepanda maradufu

luangalila

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2014
Posts
6,346
Reaction score
6,928
Sasa hivi bei ya ku print na photocopy zimepanda maradufu, wataalam wa stationery wanasema sababu kuu ni kupanda kwa bei ya rim paper za size ya A4, wanasema bei ya sasa ni almost 90 elfu Tsh, ambapo zamani ilikuwa ina range 35 elfu.

Na zipo fununu hawa watu wa stationery wanasema huyo supplier ni mmoja ndio analeta izo papers ...

Serikali itusaidie maana hali sio nzuri
 
Sasa hivi bei ya ku print na photocopy zimepanda maradufu, wataalam wa stationary wanasema sababu kuu ni kupanda kwa bei ya rim paper za size ya A4, wanasema bei ya sasa ni almost 90 elfu Tsh, ambapo zamani ilikuwa ina range 35 elfu.

Na zipo fununu hawa watu wa stationary wanasema huyo supplier ni mmoja ndio analeta izo papers ...

Serikali itusaidie maana hali sio nzuri
Yaani Chadema baada ya kupandisha Bei ya Petrol,vyakula,Sasa wamehamia Kwenye makalatasi!

Si tulikubaliana wapinzani walituchelewesha sana kupata maendeleo?
 
Nilianzisha ka kiwanda cha kutengeneza karatasi za khaki kwa ku recycle ma box used. Hizo hekaheka nilizokutana nazo kwenye mamlaka siwezi kuzisahau, niliamua kuachana na mradi nikaenda kufanya biashara nyingine ambako nako nilipoteza kama milioni 30.

Hii nchi ina wapa favour wafanyabishara wakubwa au wakigeni na kuendekeza kuagiza vitu nje hata vile ambavyo vinawezekana kuzalishwa hapa nyumbani kupitia viwanda vidogo vidogo.

Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
 
Ream paper moja ni Tsh 20,000/=
Iyo bei ni ya wapi ww ? Burundi au Tz hii ?....

Mm jana nilikuwa na wadau wa stationary, ma wengi wakilalamika hakuna rim paper ..yaan bei ipo juu
 
Iyo bei ni ya wapi ww ? Burundi au Tz hii ?....

Mm jana nilikuwa na wadau wa stationary, ma wengi wakilalamika hakuna rim paper ..yaan bei ipo juu
Huku kanda ya ziwa nimenunua 20,000 ream moja sio caton.
 
Nilianzisha ka kiwanda cha kutengeneza karatasi za khaki kwa ku recycle na box used. Hizo hekaheka nilipokutana nazo kwenye namlaka siwezi kuzisahau, niliamua kuachana na miradi nikaenda kufanya biashara nyingine ambako nako nikipoteza kama milioni 30.
Hii nchi ina wapa favour wafanyabishara wakubwa au wakigeni na kuendekeza kuagiza vitu nje hata vile ambavyo vinawezekana kuzalishwa hapa nyumbani kupitia viwanda vidogo vidogo.

Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
Uko sahihi kabisa. Hatuna viongozi wazalendo. Wageni wanabebwa mpaka inakera. Hii nchi haiwezi kujengwa na wageni! Isipokuwa sisi wenyewe.

Hivyo ni vyema serikali ikaweka utaratibu mzuri wa kutengeneza Mamilionea/Mabilionea na Matrionea wa ndani, badala ya kuwategemea Mabeberu kutoka nje.
 
Nchi inayoendekeza kununua zaidi nje kuliko kuuza, alafu mnataka umaskini uishe
 
Back
Top Bottom