Serious mkuuReam paper moja ni Tsh 20,000/=
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Serious mkuuReam paper moja ni Tsh 20,000/=
Carton saiv 100,000,ream moja ni tsh 20,000 japo Lazima bei ya kopi ipande.Sasa hivi bei ya ku print na photocopy zimepanda maradufu, wataalam wa stationary wanasema sababu kuu ni kupanda kwa bei ya rim paper za size ya A4, wanasema bei ya sasa ni almost 90 elfu Tsh, ambapo zamani ilikuwa ina range 35 elfu.
Na zipo fununu hawa watu wa stationary wanasema huyo supplier ni mmoja ndio analeta izo papers ...
Serikali itusaidie maana hali sio nzuri
Na tukishapoteza self reliance popote tunabaki kuwa watumwa wa bei zao wanazojisikia, nini kiliua uzalishaji wa karatasi Iringa.?Nilianzisha ka kiwanda cha kutengeneza karatasi za khaki kwa ku recycle na box used. Hizo hekaheka nilipokutana nazo kwenye namlaka siwezi kuzisahau, niliamua kuachana na miradi nikaenda kufanya biashara nyingine ambako nako nikipoteza kama milioni 30.
Hii nchi ina wapa favour wafanyabishara wakubwa au wakigeni na kuendekeza kuagiza vitu nje hata vile ambavyo vinawezekana kuzalishwa hapa nyumbani kupitia viwanda vidogo vidogo.
Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
Inasikitisha sana..Vitu vinapanda bei hovyo halafu walio kwenye mamlaka wao ni kusifia royo tua tu.
Media nazo zimwtutupa kabisa wananchi, hakuna habari za kupanda kwa vitu ni kawa waandishi sa habari hawaishi bongo.
Yote hii alieharibu na kutia woga watu ni mwendazake, walau kipindi cha jk watu walioiga kelele na baadhi ya mambo kua solved lakini sasa hali ni mbaya wa kusema hakuna.
[emoji1787]
Inawezekana lakini mifumo yetu mingi hairuhusu hilo.Haiwezekani ku scan vitu na kuvituma kielektroniki zaidi?
Hivyo unavyiscan si ndio hardcopies?Haiwezekani ku scan vitu na kuvituma kielektroniki zaidi?
kweli hata nami naona.Sasa hivi bei ya ku print na photocopy zimepanda maradufu, wataalam wa stationery wanasema sababu kuu ni kupanda kwa bei ya rim paper za size ya A4, wanasema bei ya sasa ni almost 90 elfu Tsh, ambapo zamani ilikuwa ina range 35 elfu.
Na zipo fununu hawa watu wa stationery wanasema huyo supplier ni mmoja ndio analeta izo papers ...
Serikali itusaidie maana hali sio nzuri
...Ungefanya la maana Sana kama ungeitaja hio Bei mpya illiyoongezeka!Sasa hivi bei ya ku print na photocopy zimepanda maradufu, wataalam wa stationery wanasema sababu kuu ni kupanda kwa bei ya rim paper za size ya A4, wanasema bei ya sasa ni almost 90 elfu Tsh, ambapo zamani ilikuwa ina range 35 elfu.
Na zipo fununu hawa watu wa stationery wanasema huyo supplier ni mmoja ndio analeta izo papers ...
Serikali itusaidie maana hali sio nzuri
Mkuu una zingua ...bei.mnona nimekuwekea...Ungefanya la maana Sana kama ungeitaja hio Bei mpya illiyoongezeka!
tatizo watanzania tumekalili product moja ambayo inatoka kaburu.
yani tokea niache kutumia hizo rim zilizopanda na kuingia product niliyoagiza mwenyewe sijawai kuona zikikwama kwenye mashine.
watanzania mnakilili mtaki kuamini hata wengine wana vitu vizuri.
Na zipo fununu hawa watu wa stationery wanasema huyo supplier ni mmoja ndio analeta izo papers ...
Serikali itusaidie maana hali sio nzuri
Documents zinahitajika somewhere wanataka hardcopyHaiwezekani ku scan vitu na kuvituma kielektroniki zaidi?
Hapo ni mfumo tu, kwenye mihuri watu walishafikiria na ku solve hilo zamani tu.Inawezekana lakini mifumo yetu mingi hairuhusu hilo.
Mfano hizi barua zinazotakiwa kupigwa mihuri na watumishi wa kitengi fulani ..
Mitihani siku hizi watu wanafanya online, mimi sihafanya mitihani online nchi za watu huku.Hivyo unavyiscan si ndio hardcopies?
Alafu Kuna baadhi ya vitu huwezi kuacha kutumia hardcopies mfano; mitihani
Halafu tunakuja kupigiana kelele za e-government ?