Bei ya kufanya shooting na kutengeneza DVD ya nyimbo ni shiliing ngapi?

Bei ya kufanya shooting na kutengeneza DVD ya nyimbo ni shiliing ngapi?

Kig

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2012
Posts
1,076
Reaction score
458
Wadau naomba wanaojua bei au gharama za kutengeneza DVD ya nyimbo kuanzia shooting hadi production ya DVD au VCD inaweza kuwa shilling ngapi za kitanzania. Pia naomba na maelezo ya mchakato mzima hadi kusambaza video yenyewe kwa wauzaji
 
Wadau naomba wanaojua bei au gharama za kutengeneza DVD ya nyimbo kuanzia shooting hadi production ya DVD au VCD inaweza kuwa shilling ngapi za kitanzania. Pia naomba na maelezo ya mchakato mzima hadi kusambaza video yenyewe kwa wauzaji

haujasema nyimbo aina gani so inaweza kuwa ngumu kupata bei maana Bongo Flava,n.k nitofauti na Gospel.Mimi ninakampuni yangu tunafanya video za Gospel,Film,etc sasa jijaelewa unataka kufungua kampuni yako au unataka kufanya kazi? kimsingi vyote hapo nimaelewano kutegemea na idadi.
 
haujasema nyimbo aina gani so inaweza kuwa ngumu kupata bei maana Bongo Flava,n.k nitofauti na Gospel.Mimi ninakampuni yangu tunafanya video za Gospel,Film,etc sasa jijaelewa unataka kufungua kampuni yako au unataka kufanya kazi? kimsingi vyote hapo nimaelewano kutegemea na idadi.

Nina kikundi changu cha ngoma za asili na nyimbo za asili (tunaimba na kucheza). Kwa hiyo tumefikiria kufanya shooting, ili tutengeneze video kwa ajili ya kuiuza. Lakini pia tuweze kukutangaza kikundi chetu. kwa hiyo suala la kwanza tungependa kujua gharama za shooting katika mazingira ya kawaida yasiyohusisha kusafiri safiri. Pia gharama za kutengeneza video na na kuisambaza. Kwa ufupi nahitaji kujua utaratibu mzima ukoje hadi video inaingia sokoni
 
Back
Top Bottom