Bei ya kuku wa kienyeji imekuwa juu sana

Ulikuwa unachukulia wap boss wangu? Na ulikuwa unatumia usafiri gani kuleta huku mjini ni basi au?
Nilikuwa nachukua gairo kuna mtu niliunganishwa nae nikawa nampigia siku ya kwenda huko yeye ananiletea mzigo nausaminisha tunakubaliana bei naondoka nao na nilikuwa natumia malori yanayotoka njia ya dodoma kulekea moro nauli yake ni rafiki sana wanafanya kati ya 10k hadi 20k kutokana na idadi ya matenga ila mimi nilikuwa naishiaga msamvu kwani moro ndo lilipokuwaga soko langu ila now nipo dsm nataka niirejee hiyo mishe nkishaseti mambo yangu huku dsm
 
Kaka naomba tuwasiliane 0658569529 unipe mbinu na uzoefu wako katika hii biashara mimi pia nataka kuifanya
 
Hizo ndio bei juu? Mbona ni za kawaida siku zote?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…