Haya hizi bei basi hua proposed na IMF sana sanaDiesel hapa Kwa Samia ni 2200 - 2300 tunacheza humo humo tu kama ninyi
Una akili timamu kweli, bei za mafuta zinaingiliana vipi na IMF, tunaongeza makodi ya ajabu wenyewe tunasingizia IMF.Haya hizi bei basi hua proposed na IMF sana sana
Boss badala matusi ask for facts idiot, IMF has more say in your country than you may think, jisomee madeni lazima tuwalipeUna akili timamu kweli, bei za mafuta zinaingiliana vipi na IMF, tunaongeza makodi ya ajabu wenyewe tunasingizia IMF.
Duuu. Kwa kweli tumekwisha. Hata mimi sikulijua kabisa kwamba IMF wapo kwenye mafutaBoss badala matusi ask for facts idiot, IMF has more say in your country than you may think, jisomee madeni lazima tuwalipe
IMF pushes for fuel tax rise in $2b loan deal
The multilateral financier reckons that Kenya should impose a 16 percent VAT on fuels from the current eight percent when crude oil prices fall.www.theeastafrican.co.ke
Hahaha. Poleni sana. Kwani hapo awali bei ilikuwa pesa ngapi? Bei imeongezeka kwa shilingi ngapi?Wasalaam ndugu zangu katika Africa
Samahani wakuu naomba kujua bei ya mafuta huko kenya mana kwa huku Tz tumepandishiwa mpaka Tsh 2400 had Tsh 2500 kwa baadhi ya maeneo
Cost of living Kenya ipo juu kushinda Tanzania. Hata income per capita ipo juu Kenya kushinda Tanzania. Sasa vipi bei ya mafuta zitatoshana hapa Kenya na huko Tanzania? Mnagongwa sana. Poleni.Diesel hapa Kwa Samia ni 2200 - 2300 tunacheza humo humo tu kama ninyi
Wacha upuuzi. Bajeti yenu ni kubwa unataka serikali itoe wapi tax? Mafuta ni bidhaa rahisi sana ya kutoza tax kwa sababu lazima kila mwenye gari akinunue na kukitumia. Japo bei ya mafuta ikipanda basi bei ya bidhaa zingine zitapanda pia.Una akili timamu kweli, bei za mafuta zinaingiliana vipi na IMF, tunaongeza makodi ya ajabu wenyewe tunasingizia IMF.
Huo ujinga upo kwenu tu Kenya na other failed state ambazo zilikuwa zinaenda kuwa bankruptcy ila kuna nchi nyingi tu ambazo bei ya mafuta ni around 0.5 USD, pia ongezeke la bei Tz halina uhusiano wowote na IMF bali ni uamuzi binafsi wa serikali dhaifu kuongeza kodi tu kwenye mafuta kitu ambacho kitaleta tu inflation baadae.Boss badala matusi ask for facts idiot, IMF has more say in your country than you may think, jisomee madeni lazima tuwalipe
IMF pushes for fuel tax rise in $2b loan deal
The multilateral financier reckons that Kenya should impose a 16 percent VAT on fuels from the current eight percent when crude oil prices fall.www.theeastafrican.co.ke
Again, your just an idiot mnakopa IMF mnadhani they dont have say in your countryH
Huo ujinga upo kwenu tu Kenya na other failed state ambazo zilikuwa zinaenda kuwa bankruptcy ila kuna nchi nyingi tu ambazo bei ya mafuta ni around 0.5 USD, pia ongezeke la bei Tz halina uhusiano wowote na IMF bali ni uamuzi binafsi wa serikali dhaifu kuongeza kodi tu kwenye mafuta kitu ambacho kitaleta tu inflation baadae.
Unapewa masharti ya ajabu ajabu ukiwa umefilisika tu, GoK ni mfilisi ndio maana IMF na China wote wanawapa masharti ya kipumbavu kabla ya kukopa tena.Again, your just an idiot mnakopa IMF mnadhani they dont have say in your country
You think its a coincidence mmeongezewa ushuru kwa airtime same as kenya , wacha kushabikia upuzi, your worse off than usUnapewa masharti ya ajabu ajabu ukiwa umefilisika tu, GoK ni mfilisi ndio maana IMF na China wote wanawapa masharti ya kipumbavu kabla ya kukopa tena.
Unafikiria kila nchi imelemewa na madeni kama Kenya, unafikiria kila nchi inaenda kukopa ili kulipa madeni ya zamani, huo ujinga upo kwenu tu, vumilia na furahia ujinga wenu.You think its a coincidence mmeongezewa ushuru kwa airtime same as kenya , wacha kushabikia upuzi, your worse off than us