Imepungua kwa Tzs 127. . .
Na hiyo 180 ni sawa na 3253 Tzs
Kwahiyo inabidi muangalie kiasi hicho kinachouzwa kwa Kes 180 (3253 Tzs) huko Kenya kinauzwa kwa bei gani bongo ili kujua tofauti iliyopo baada ya wao kupunguziwa bei.
Bei 108 siyo 180.
Mnaona hapo wenzetu walivyo makini?Bei hiyo itatumika hadi tarehe 15 mwezi ujao.