rushanju
JF-Expert Member
- Nov 3, 2011
- 3,238
- 5,106
Wakuu... Nimeangalia taarifa ya habari ya KBC sasa hivi na habari kuu ilikuwa ni kuhusu bei ya mafuta ya petrol kushuka. Kwa mujibu wa kitengo cha udhibiti wa nishati (kawi) bei ya pertol imeshuka kwa sh saba za kenya na bei mpya itakuwa ni sh 108. Hii ni kutokana na kushuka kwa nishati hiyo katika soko la dunia. Bei hiyo itatumika hadi tarehe 15 mwezi ujao. Wakuu sijuhi Exchange rate ya sasa imesimama wapi yaani kati ya Tsh na Kshs.
Nawasilisha
SOURCE: KBC. Taarifa ya habari saa moja
Nawasilisha
SOURCE: KBC. Taarifa ya habari saa moja