iparamasa
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 13,437
- 14,927
EWURA itapandisha bei za mafuta kuanzia tarehe moja novemba,hii ni kwa mujibu wa tetesi kutoka chanzo cha uhakika.
Baadhi ya vituo vya mafuta vimekuwa vikijizuia kuuza mafuta katika maeneo yao kusubiri ujio wa bei mpya
Tujiandae kwa pigo hili watanzania
Baadhi ya vituo vya mafuta vimekuwa vikijizuia kuuza mafuta katika maeneo yao kusubiri ujio wa bei mpya
Tujiandae kwa pigo hili watanzania