Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Yapande tu hakuna namna
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
EWURA itapandisha bei za mafuta kuanzia tarehe moja novemba,hii ni kwa mujibu wa tetesi kutoka chanzo cha uhakika.
Baadhi ya vituo vya mafuta vimekuwa vikijizuia kuuza mafuta katika maeneo yao kusubiri ujio wa bei mpya
Tujiandae kwa pigo hili watanzania
Nimependa uzamiaji wako kupata habari [emoji122] sasa naomba embu zamia hii gesi yetu ya hapo mtwara .inakuwaje imeshindwa kabisa kupunguza bei ya uzalishaji umeme ,ilitupunguziwe bei ya umeme kama walivyotuahidi kuwa gesi ikianza kutumika ingepunguza bei kwa 50% bei ya sisi watumiaje baadala yake walipunguza kwa 1.07%Huo ni wazimu,bei ya mafuta imeshuka duniani,na sio leo au kesho itakuwa afueni,mafuta ni mengi kuliko soko yamezagaa,yataendelea kushuka zaidi kwa kuwa Marekani ana zalisha zaidi kwa kutumia tekinologia mbadala,na huku Mrusi akizalisha mengi mno na kuuza kwa bei ya chini zaidi.Hata kama Opec wakikubaliana kupunguza uzalishaji,kitu ambacho hakiwezekani,bado mafuta ni mengi mno.
Yabidi Eura atambue mafuta sio deal tena,afadhali mineral water.
kuna mijitu mingine ukada umezidi ona huyuNi njia nzuri ya kupunguza umiliki wa magari na kuepuka uchafuzi wa mazingira
Itabidi mkasome namba iliyoongezwa, maana hakuna namna!EWURA itapandisha bei za mafuta kuanzia tarehe moja novemba,hii ni kwa mujibu wa tetesi kutoka chanzo cha uhakika.
Baadhi ya vituo vya mafuta vimekuwa vikijizuia kuuza mafuta katika maeneo yao kusubiri ujio wa bei mpya
Tujiandae kwa pigo hili watanzania
Huu ni wizi wa mchana kweupe, katika soko la dunia bei ya mafuta inashuka kutokana na kutoelewana kati ya nchi za OPEC na zile ambazo hazimo OPEC katika kupunguza viwango vyao vya uzalishaji, lakini hapa nchini inapandishwa!
Nimependa uzamiaji wako kupata habari [emoji122] sasa naomba embu zamia hii gesi yetu ya hapo mtwara .inakuwaje imeshindwa kabisa kupunguza bei ya uzalishaji umeme ,ilitupunguziwe bei ya umeme kama walivyotuahidi kuwa gesi ikianza kutumika ingepunguza bei kwa 50% bei ya sisi watumiaje baadala yake walipunguza kwa 1.07%
Nategemea uje na Maelezo mazuri zaidi ataa kushinda haya ya nchi za watu huko mbali ukizingatia ni hapo hapo tuu Dar-Mtwara
HAWA EWURA WALAGAI SANA MAFUTA HUKO NJE YAMESHUKA ILA WAO HUKU KUTWA WANATAKA KUYAPANDISHA....WALAGHAI.
OVA
Hivi kupanda kwa mafuta kunatokana na ninAlafu tunaambiwa uchumi umekua kweli tanzania kuna vituko