Bei ya mafuta sasa inavuka Tshs 2,000 kwa lita

Bei ya mafuta sasa inavuka Tshs 2,000 kwa lita

Ntemi Kazwile

JF-Expert Member
Joined
May 14, 2010
Posts
2,182
Reaction score
308
Jamani bei ya mafuta inazidi kupaa wiki iliyopita tulikuwa tunanunua diesel kwa Tshs1,750 kwa lita lakini jana yamefika Tshs 2,000 (ongezeko la zaidi ya 14%). Je inawezekana hii nayo ikawa moja wapo ya hujuma (kupandisha bei hovyo ili kujipatia unfair profits)kwa kisingizio cha vurugu za Mashariki ya Kati na Kasikazini mwa Afrika?
Sukari tuliambiwa inatakiwa iwe Tshs1,700 lakini inaendelea kusonga na bado tunaambiwa sukari ipo ya kutosha je serikali yetu imeshindwa kusimamia sheria zilizopo?
 
Jamani bei ya mafuta inazidi kupaa wiki iliyopita tulikuwa tunanunua diesel kwa Tshs1,750 kwa lita lakini jana yamefika Tshs 2,000 (ongezeko la zaidi ya 14%). Je inawezekana hii nayo ikawa moja wapo ya hujuma (kupandisha bei hovyo ili kujipatia unfair profits)kwa kisingizio cha vurugu za Mashariki ya Kati na Kasikazini mwa Afrika?
Sukari tuliambiwa inatakiwa iwe Tshs1,700 lakini inaendelea kusonga na bado tunaambiwa sukari ipo ya kutosha je serikali yetu imeshindwa kusimamia sheria zilizopo?

Kutokana na kupanda kwa mafuta nimeachana na usafiri binafsi sasa natumia Daladala, Mungu aepushie mbali nisije nikasitisha hata Chai nyumbani kwangu kwasababu ya kupanda kwa bei ya sukari. Nadhani nikifikia hatua hiyo hata bibi yangu ninaye mlea nyumbani kwangu ambaye ni mwana CCM atanielewa nikwanini sitaki kuwasamehe walioba kura yangu ili waendelee kutawala japo uwezo hawana.
 
Tufungeni mikanda ili somo lituingie haswaaa, ili hapo 2015 tukiambiwa "Piga kura, Linda kura yako" tuelewe mara moja maana yake.

Ila kwa vile binadamu ni wepesi wa kusahau, nachelea kusema 2013 mambo yatanyooka kidogo, tutazoea hali ya maisha ya bei juu juu, then ccm watakuwa wamevuna vya kutosha wataanza kutuonjesha taratibu hadi 2015 tutakuwa tulishalegea na kusema "Hata ccm siyo wote mafisadi, kuna wenye uchungu na nchi". Kwisha habari!!

We have to define our own rules and protect them.
 
Jamani bei ya mafuta inazidi kupaa wiki iliyopita tulikuwa tunanunua diesel kwa Tshs1,750 kwa lita lakini jana yamefika Tshs 2,000 (ongezeko la zaidi ya 14%). Je inawezekana hii nayo ikawa moja wapo ya hujuma (kupandisha bei hovyo ili kujipatia unfair profits)kwa kisingizio cha vurugu za Mashariki ya Kati na Kasikazini mwa Afrika?
Sukari tuliambiwa inatakiwa iwe Tshs1,700 lakini inaendelea kusonga na bado tunaambiwa sukari ipo ya kutosha je serikali yetu imeshindwa kusimamia sheria zilizopo?

Serikali imeshindwa kabisa kuongoza, imechanganyikiwa haijui ifanye nini na ianzie wapi! Ina fikiri CHADEMA ndo inasababisha yote haya!
 
Back
Top Bottom