Ntemi Kazwile
JF-Expert Member
- May 14, 2010
- 2,182
- 308
Jamani bei ya mafuta inazidi kupaa wiki iliyopita tulikuwa tunanunua diesel kwa Tshs1,750 kwa lita lakini jana yamefika Tshs 2,000 (ongezeko la zaidi ya 14%). Je inawezekana hii nayo ikawa moja wapo ya hujuma (kupandisha bei hovyo ili kujipatia unfair profits)kwa kisingizio cha vurugu za Mashariki ya Kati na Kasikazini mwa Afrika?
Sukari tuliambiwa inatakiwa iwe Tshs1,700 lakini inaendelea kusonga na bado tunaambiwa sukari ipo ya kutosha je serikali yetu imeshindwa kusimamia sheria zilizopo?
Sukari tuliambiwa inatakiwa iwe Tshs1,700 lakini inaendelea kusonga na bado tunaambiwa sukari ipo ya kutosha je serikali yetu imeshindwa kusimamia sheria zilizopo?