Hapa kijijini kwangu bei ya petroli imeshuka kutoka $3.95 wiki chache zilizopita na sasa ni $2.49. Hata nimeanza kupunguza kutembea kwa mguukwenda kununua soda na bia.
Hapa kijijini kwangu bei ya petroli imeshuka kutoka $3.95 wiki chache zilizopita na sasa ni $2.49. Hata nimeanza kupunguza kutembea kwa mguukwenda kununua soda na bia.
EWURA imetoa kipindi cha wiki 1 bei ya mafuta iwe imeshuka. Haruna Masebu anasema bei imeshuka kwa kiwango kikubwa hivyo basi wauzaji wa mafuta sharti washushe bei
Oil falls below $67 a barrel on demand worries
Thursday, October 23, 2008
Oil prices plunged to their lowest in 16 months Wednesday as global economic worries led investors to predict a further drop in energy demand.
The continuing slide in prices is good news for drivers. The nationwide average gasoline price is now the lowest in nearly a year and is set to fall further.
The price of a barrel of light, sweet crude trading for delivery in December fell $5.43, or 7.5%, to $66.75, the lowest since June 2007. Oil prices are now down 54% from the record close of $145.29 on July 3.
MY TAKE: Hii ni kwa ajili ya nchi zilizoendelea pekee kwa kuwa nyumbani bei bado zile zile?, au ni uongozi wetu na siasa zisizoeleweka?.
Tuijadili..
Tanzania wafanyabiashara wa mafuta huwa wao ni faida tu. Ikipandishwa kodi ya mafuta tu, nao hupandisha mafuta, bila kujali kuwa wanatakiwa kumaliza mafuta kwanza ambayo yaliingia kabla kodi haijapanda. Pia Mafuta yakipanda tu katika soko la dunia, wao hupandisha bei wakati huohuo. Sasa yakishuka katika soko la dunia husema kuwa wanayo kibao wakishaagiza yako kwenye "sock" yao, hivyo hawawezi shusha bei mpaka yaishe.
Sijui kama EWURA wanajua kuwa BP, Oilcom nk kwamba wameingiza kiasi hani cha mafuta kwa mwezi, na ni rahisi kama mfuo ungekuwa wazi kujua wamesambaza kiasi gani kwa vituo vyao. Manake kuna mafuta yanaingizwa na kusemekana yanaenda Burundi, Rwanda ama Uganda, lakini yanaishia kuuzwa TZ, hakuna usimamizi, yani kila mtu anaendesha mambo atakavyo. INAUDHI mno!.
Karibu mwezi unaisha tangu mafuta yashuke bei na jana yameshuka zaidi. Ajabu lakini hapa Tanzania mafuta bado bei iko juu na na haijashuka hata kwa 25% hasa Dar es salaam bei ni juu kuliko mikoani yaani utaifikiri Tanzania kuna Vijamuhuri vingine! Ewura wamenyoosha mikono limewashinda (Nashauri Ewura ifutwe maana hawana faida kesi wanashindwa na tunauziwa mafuta machafu wkati tunalipa 1% kwenye umeme kwa ajili yao) na Serikali yetu imeuchuna (sijui maisha bora yatatoka wapi, maana hiyo ilikuwa ni golden chance hata ya kuwadanganya WaTz kwa muda).
Maoni yangu:
nahisi kwenye biashara ya Mafuta hapa nchini kuna Mafisadi wanaimiliki na wameiweka Serikali mifukoni mwao kwa gharama ya watanzania.
Ni vigumu mno kukontrol bei ya mafuta kama huna refinery na sisi kwa sababu ya ufala wetu tumeua ile tipper (Well I am not sure iwth the story behind). Halafu kuna hii biashara ya soko huria where by kila mtu anaagiza mafuta anakokujua na therefore kusema I bought at this $$$$$$$$$$ Tukumbuke kwamba biashara ya mafuta Tanzania haina ushindani ni some sort of a cartel........ Just imagine nchi nzima ina vituo kama 1200 na kati ya hivyo around 280 vipo Dar.
Price ya mafuta sasa iko kwenye exactly price. Speculator walikuwa wanacheza na demand and supply kwa kubid kwenye future delivery za mafuta. Kwa dolla 60 a barral still makampuni ya mafuta wanamake good profit.
Kuhusu Tanzania huwezi kuona changes mara mmoja, sababu supply wengi wa mafuta nchini Tanzania wana hold inventory, kwa hiyo huwezi kuslash price wakati ulinunua kwa high price. However, sababu tuna loophole nyingi basi hata kama kampuni itaingiza inventory mpya inaweza kumanipulate bei na hakuna atakae wababaisha.
Kama tungekuwa na refinery zetu, basi tungekuwa tunaona changes mara moja. Na kama tungekuwa na viongozi wenye brain, tungebana loophole za hawa kina Ally Yushumu na waarabu wenzie wanao supply Blood oil nchini kwetu.
Hivi
Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC)
wanasimama wapi juu ya hili?..
ufisadi tu nasikia wakubwa ndo wanaosababisha hili shirika lisianze kazi wanaingiza mafuta yao sasa litawazibia riziki mhhh!