Majita
JF-Expert Member
- Jan 13, 2008
- 609
- 191
Hapa kijijini kwangu bei ya petroli imeshuka kutoka $3.95 wiki chache zilizopita na sasa ni $2.49. Hata nimeanza kupunguza kutembea kwa mguukwenda kununua soda na bia.
Hapa kijijini kwangu kwenye vibanda vya BJ'S yameshuka toka $4 kwa galon wiki chache zilizopita na leo jioni ni $2.40.Nitaanza kuzurura upya kwenda kusoma JamiiForum kwa jamaa zangu walioko vijiji jirani kwani naona kusoma tena jamiiForum pekee yangu hainogi.Nitaanza kushindana na wasipainishi kupiga malesi kwenye kigari changu tukiwa mbioni kwenda kuvua samaki.