Leo ni dolari za kimerekani 45 tu kwa pipa.
Pipa huwa lina lita ngapi afsa
Tunazidi kushuhudia kupomoka kwa bei ya mafuta, leo yamefika dolar 45.05 kwa pipa, mwenye kujua faida za bulk procurement atuelezee consumers wanawezaje kufaidika na hali hii.
Kwa tanzania imeshuka mpaka shilingi ngapi?
Mafuta hupimwa kwa barrel, How much volume in litres is a barrel
Pipa huwa lina lita ngapi afsa
Ubarikiwe kwa majibu fasaha
Approximately 160 ltrs
Yatashuka mwezi wa pili. Tulia ccm ndio baba na ccm ndio mama. Waziri muongo alishatoa tamko
King'asti mafuta mbona yakipanda bei leo kwenye soko la dunia na huku wafanyabiashara wanapandisha siku hiyo hiyo?Angalia volume ya barrel hapo juu.
Bei ya dunia ikiporomoka haiwezi kushuka ghafla bongo. Ukumbuke mafuta hadi yalipiwe, yapakiwe na yafike na kupakuliwa inachukua almost miezi 2. Kupanda bei ndo fasta fasta
Vilevile ikumbukwe kuwa mafuta yanayonunuliwa leo huko wanakoyazalisha yatachukua muda wa kama miezi miwili ama mitatu kufika sokoni(Tz) so + ushuru
Ndo maana wakati mwingine huchukua muda sana bei kushuka sokoni labda tuombe indelee kushuka ama kuendelea kuwa hapo kwa miezi mingine 5
Kingmairo and Ngamba, yes it is true about the custom duties and taxes and yes it is true about logistic costs amd the deliveries. But the $45 per barel price is based on crude oil not on refined product and the price is on what is called "oil futures." so if $45 per barrel of crude is for April futures this price is not the price of oil that was delivered in November at a particular port refineries..Kimsingi ughali wa bei ya mafuta nchini ambao hauendani na bei katika soko la dunia unasababishwa na KODI YA SERIKALI. Kwa hiyo bila kodi ya serikali kushushwa kamwe watanzania hamtaweza kuuona unafuu wa kuporomoka kwa bei ya mafuta huko kwa wazalishaji.