jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,556
- 25,342
Tunazidi kushuhudia kupomoka kwa bei ya mafuta, leo yamefika dolar 45.05 kwa pipa, mwenye kujua faida za bulk procurement atuelezee consumers wanawezaje kufaidika na hali hii.
=============UPDATE=============
yameshuka tena zaidi na leo ni dolari za kimarekani 44.34 kwa pipa.
Kama kweli Mwigulu Nchemba ni mzalendo peleka hoja kwa dharura lijadiliwe jambo hili.
21:41 hrs
================UPDATES=============
Mafuta yameendelea kushuka bei na sasa yanauzwa dolari 44.01 kwa pipa.
=============UPDATE=============
yameshuka tena zaidi na leo ni dolari za kimarekani 44.34 kwa pipa.
Kama kweli Mwigulu Nchemba ni mzalendo peleka hoja kwa dharura lijadiliwe jambo hili.
21:41 hrs
================UPDATES=============
Mafuta yameendelea kushuka bei na sasa yanauzwa dolari 44.01 kwa pipa.
Last edited by a moderator: