Gwallo
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 3,408
- 4,392
Wanabodi habari za leo!
Naomba niende kwenye mada moja kwa moja, nimelima mahindi na nikayahifadhi store maguni si mengi kama 200 hivi. Je kuna mdau yeyote anayejua bei ya kilo ni Shilingi ngapi kwa sasa kwenye eneo lako ulipo?
Kwa Mkoa wa Arusha na maeneo mengi ya Wilaya zake bei ina-range kati ya 50,000-60,0000 kwa gunia. Je hapo kwako bei ikoje?
Naomba niende kwenye mada moja kwa moja, nimelima mahindi na nikayahifadhi store maguni si mengi kama 200 hivi. Je kuna mdau yeyote anayejua bei ya kilo ni Shilingi ngapi kwa sasa kwenye eneo lako ulipo?
Kwa Mkoa wa Arusha na maeneo mengi ya Wilaya zake bei ina-range kati ya 50,000-60,0000 kwa gunia. Je hapo kwako bei ikoje?